KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 677
Habari za jioni Watanzania wenzangu.
Kwa miaka ya hivi karibuni mpira wa Nchi yetu umechangamka sana. Vilabu vyetu Simba na Yanga si tu vinaogopeka baki pia vinacheza mpira wa kuvutia kwa viwango vyetu vya Afrika.
Suala hili limepelekea watanzania rika na jinsi tofauti kuonesha kusupport angalau kushangilia vilabu hivi viwapo nchini au nje ya nchi.
Kwa nyakati hizi Simba watakuwa ZAMBIA Yanga watakuwa RWANDA. Nimepitia Page za hizi klabu zote mbili kila upande umeandaa usafiri. Yes Usafiri wa kwenda Zambia (SIMBA) na KWENDA RWANDA (YANGA) usafiri husika ni nauli na ratiba ya safari vimewekwa.
AMBACHO BADO NATAMANI KUFAHAMU SASA.
JE, MASHABIKI AWA WATAKAO ENDA WATAKULA WAPI?
WATAKULA NINI?
WATALALA WAPI?
WATAFIKIA WAPI?
NINA IMANI HIZI SAFARI SIO MARA YA KWANZA ZINAFANYIKA WENYE UZOEFU NAOMBA MTUPE MWANGAZA. KUMBUKUMBU ZANGU ZINANIONESHA KUNA KIPINDO YANGA WALIENDA NA NDEGE YA SERIKALI AFRIKA KASIKAZINI MWAKA JANA.
NIKO INTERESTED KWENDA RWANDA BUT BEFORE NATAMANI KUPATA TARIFA KUHUSU MAMBO TAJWA HAPO JUU.
Kwa miaka ya hivi karibuni mpira wa Nchi yetu umechangamka sana. Vilabu vyetu Simba na Yanga si tu vinaogopeka baki pia vinacheza mpira wa kuvutia kwa viwango vyetu vya Afrika.
Suala hili limepelekea watanzania rika na jinsi tofauti kuonesha kusupport angalau kushangilia vilabu hivi viwapo nchini au nje ya nchi.
Kwa nyakati hizi Simba watakuwa ZAMBIA Yanga watakuwa RWANDA. Nimepitia Page za hizi klabu zote mbili kila upande umeandaa usafiri. Yes Usafiri wa kwenda Zambia (SIMBA) na KWENDA RWANDA (YANGA) usafiri husika ni nauli na ratiba ya safari vimewekwa.
AMBACHO BADO NATAMANI KUFAHAMU SASA.
JE, MASHABIKI AWA WATAKAO ENDA WATAKULA WAPI?
WATAKULA NINI?
WATALALA WAPI?
WATAFIKIA WAPI?
NINA IMANI HIZI SAFARI SIO MARA YA KWANZA ZINAFANYIKA WENYE UZOEFU NAOMBA MTUPE MWANGAZA. KUMBUKUMBU ZANGU ZINANIONESHA KUNA KIPINDO YANGA WALIENDA NA NDEGE YA SERIKALI AFRIKA KASIKAZINI MWAKA JANA.
NIKO INTERESTED KWENDA RWANDA BUT BEFORE NATAMANI KUPATA TARIFA KUHUSU MAMBO TAJWA HAPO JUU.