Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 689
- 3,373
Internet sio anasa, internet sio jambo la option, internet ni ulimwengu kama ulivyo ulimwengu wa kifizikia,
Watu waanasoma mtandaoni
Watu wanafanya biashara mtandaoni
Watu wanaburudika mtandaoni
Watu wanasoma mtandaoni
Watu wanapata taarifa mtandaoni
Watu wanajuliana hali na kuendeleza mambo ya kijamii
Kubwa zaidi, watu wanafanya kazi mtandaoni,
Kwa sasa ajira hakuna, wapo watu wamejiaajiri kupitia Internet, inakuaje internet inachukuliwa kama ni sehemu ya ziada au option ? Hata kama watu wanakua wanatumia internet kuangalia udaku, yes ni style ya maisha yake, kwa nini serikali isione fursa hii naa kufanya mazingira rafiki? Kama ulivyo umuhimu wa kujenge barabara vivyohivyo katika kufanya mazingira mazuri ya internet , hii ni kwa Bei ya vifurishi na pia upatikanaji wake ( affordability and accessibility)
Leo hii nikiwa nimeamua kusoma graphic design mtandaoni ili nije nijiajiri, ikiwa GB 2 ni elf 10, ntahitajika kua na bei gani? Je hii ni njia ya kuwawezesha wananchi? Je TCRA hawafahamu kundi kubwa la watanzania ni wenye uwezo gani hadi waruhusu bei kisha baada ya kelele ndo wasitishe? Hakika wanachakujibu na kama hawawezi kuwahudumia wananchi waseme wasaidiwe
Watu waanasoma mtandaoni
Watu wanafanya biashara mtandaoni
Watu wanaburudika mtandaoni
Watu wanasoma mtandaoni
Watu wanapata taarifa mtandaoni
Watu wanajuliana hali na kuendeleza mambo ya kijamii
Kubwa zaidi, watu wanafanya kazi mtandaoni,
Kwa sasa ajira hakuna, wapo watu wamejiaajiri kupitia Internet, inakuaje internet inachukuliwa kama ni sehemu ya ziada au option ? Hata kama watu wanakua wanatumia internet kuangalia udaku, yes ni style ya maisha yake, kwa nini serikali isione fursa hii naa kufanya mazingira rafiki? Kama ulivyo umuhimu wa kujenge barabara vivyohivyo katika kufanya mazingira mazuri ya internet , hii ni kwa Bei ya vifurishi na pia upatikanaji wake ( affordability and accessibility)
Leo hii nikiwa nimeamua kusoma graphic design mtandaoni ili nije nijiajiri, ikiwa GB 2 ni elf 10, ntahitajika kua na bei gani? Je hii ni njia ya kuwawezesha wananchi? Je TCRA hawafahamu kundi kubwa la watanzania ni wenye uwezo gani hadi waruhusu bei kisha baada ya kelele ndo wasitishe? Hakika wanachakujibu na kama hawawezi kuwahudumia wananchi waseme wasaidiwe