Je, waliomshinikiza Joe Biden kujitoa kwenye mbio za Urais walilenga kumrahisishia Trump njia ya kuwa Rais.?

Je, waliomshinikiza Joe Biden kujitoa kwenye mbio za Urais walilenga kumrahisishia Trump njia ya kuwa Rais.?

Kwa mujibu wa Wikipedia mwaka 2016, Hillary Clinton alikuwa Yuko mbele ya trump kwenye swing states zote pamoja na national poll .., lakini bado trump alimgaragaza, inaonekana watu ni wepesi sana kupoteza kumbukumbu!View attachment 3139391
Hahaha wewe ndio huelewi, Hillary alimshinds Trump kwa zaidi ya kura milioni tatu, tatizo electoral college ila this time kuanzia Pa mpaka Wisconsin Kamara yupo vizuri, next Wednesday Kamara Harris will be president elect , copy hii
 
Watu wa polls wamebadilisha models zao na namna ya kuzichukua, this time no underperformance or over performance
Hao watu wa poll ndio wamekwambia kwamba wamebadilisha model zao namna ya kuzichukua au ni mawazo yako binafsi!?

Kama una source ya uhakika kuthibisha Hilo naomba tuwekee hapa Ili na sisi tujiridhishe kwamba wamebadilisha
 
Sisemi kwamba Trump hawezi kushinda lakini ikitokea Trump
pamoja na vituko vyake vyote, past and present, akashinda,
nitakiri kuwa the USA, niliyokuja kujiaminisha kwamba naijua, siijui!
 
Kwa sababu Kwa Hali yeyote Ile haiwezekani na haiingii akilini mtu mwenye ushawishi mkubwa na ambae ameruka Kila kiunzi wamletee mgombea Mwanamke ashindane nae wakati wakijua haijawahi tokea kabla Mwanamke kuwa Rais wa Marekani.

Trump vs Hilary Clinton (Mwanamke)-Trump alitoboa.

Trump vs Harris Kamala (Mwanamke)-Njia nyeupe

Katika mazingira ambayo Dunia inaamini kwenye mfumo dume,Kwa nini Waliomshinikiza Biden ajitoe wakati Aliwahi kumshinda Trump alipopambana nae?

Kiufupi Trump ni mwepesi akishindana na Mwanaume mwenzie ila ni Shujaa akishindanishwa na Mwanamke.

Na mashaka ,hili jambo limepangwa Kwa makusudi na Kimkakati Ili hasa kukomesha vita ya Russia vs Ukraine.

View: https://www.instagram.com/p/DBvBoRkISuv/?igsh=MXIwMzd4N2MwejJ3cA==

My Take
Siku ya kwanza tuu Kamala anatangazwa,Trump aliandika huko X kwamba atashinda asubuhi na anawashukuru Democrats na Biden Kujitoa.

View: https://x.com/dwnews/status/1854001046709813656?t=whohNQVDoQC98lqzJstFPQ&s=19

Ina maana hauoni uzee wa Biden
1. Ana sinzia kwenye mahojiano
2.Anapoteza kumbukumbu
3.Ana anguka anguka ovyo
4.Alivyoshindwa kwenye mdaharo....

Rudi siasa za Bongo,huko unavamia usipopajua hata kuchambua...
 
Ina maana hauoni uzee wa Biden
1. Ana sinzia kwenye mahojiano
2.Anapoteza kumbukumbu
3.Ana anguka anguka ovyo
4.Alivyoshindwa kwenye mdaharo....

Rudi siasa za Bongo,huko unavamia usipopajua hata kuchambua...
Yeye hkuona kwamba kazeeka lakini pia Kwa nini wasingefanya kura za maoni Kwa haraka haraka ndani ya Chama?

Kiufupi Democrats hawakuandaa mgombea
 
Hii inaonesha marekani wanajielewa na wanamifumo mizuri ambayo inamwajibisha yeyote bila kuogopa.Fikiria Tanzania Kuna mwenye ubavu wa kumwambia mama pumzika usigombee 2025?Anayeweza kuthubutu kumwambia hivo lazima akubaliane kutumbuliwa au kuzongwazongwa Kila siku na vyombo vya dola.
 
Hii inaonesha marekani wanajielewa na wanamifumo mizuri ambayo inamwajibisha yeyote bila kuogopa.Fikiria Tanzania Kuna mwenye ubavu wa kumwambia mama pumzika usigombee 2025?Anayeweza kuthubutu kumwambia hivo lazima akubaliane kutumbuliwa au kuzongwazongwa Kila siku na vyombo vya dola.
Mifumo ipo ila je Kuna sababu zipi za msingi zipi za kumwambia ?
 
Kwa sababu Kwa Hali yeyote Ile haiwezekani na haiingii akilini mtu mwenye ushawishi mkubwa na ambae ameruka Kila kiunzi wamletee mgombea Mwanamke ashindane nae wakati wakijua haijawahi tokea kabla Mwanamke kuwa Rais wa Marekani.

Trump vs Hilary Clinton (Mwanamke)-Trump alitoboa.

Trump vs Harris Kamala (Mwanamke)-Njia nyeupe

Katika mazingira ambayo Dunia inaamini kwenye mfumo dume,Kwa nini Waliomshinikiza Biden ajitoe wakati Aliwahi kumshinda Trump alipopambana nae?

Kiufupi Trump ni mwepesi akishindana na Mwanaume mwenzie ila ni Shujaa akishindanishwa na Mwanamke.

Na mashaka ,hili jambo limepangwa Kwa makusudi na Kimkakati Ili hasa kukomesha vita ya Russia vs Ukraine.

View: https://www.instagram.com/p/DBvBoRkISuv/?igsh=MXIwMzd4N2MwejJ3cA==

My Take
Siku ya kwanza tuu Kamala anatangazwa,Trump aliandika huko X kwamba atashinda asubuhi na anawashukuru Democrats na Biden Kujitoa.

View: https://www.instagram.com/p/DCBRjA5uZiW/?igsh=MWdkNWQ5YXZhbTZobg==

Biden ana nongwa sana Karma: Joe Biden hajawahi kufurahi namna hii tokea Kamala achukue nafasi yake, Ahutubia ikulu kwa sura yenye tabasamu licha ya Trump Kushinda
 
Kwa sababu Kwa Hali yeyote Ile haiwezekani na haiingii akilini mtu mwenye ushawishi mkubwa na ambae ameruka Kila kiunzi wamletee mgombea Mwanamke ashindane nae wakati wakijua haijawahi tokea kabla Mwanamke kuwa Rais wa Marekani.

Trump vs Hilary Clinton (Mwanamke)-Trump alitoboa.

Trump vs Harris Kamala (Mwanamke)-Njia nyeupe

Katika mazingira ambayo Dunia inaamini kwenye mfumo dume,Kwa nini Waliomshinikiza Biden ajitoe wakati Aliwahi kumshinda Trump alipopambana nae?

Kiufupi Trump ni mwepesi akishindana na Mwanaume mwenzie ila ni Shujaa akishindanishwa na Mwanamke.

Na mashaka ,hili jambo limepangwa Kwa makusudi na Kimkakati Ili hasa kukomesha vita ya Russia vs Ukraine.

View: https://www.instagram.com/p/DBvBoRkISuv/?igsh=MXIwMzd4N2MwejJ3cA==

My Take
Siku ya kwanza tuu Kamala anatangazwa,Trump aliandika huko X kwamba atashinda asubuhi na anawashukuru Democrats na Biden Kujitoa.

View: https://www.instagram.com/p/DCBRjA5uZiW/?igsh=MWdkNWQ5YXZhbTZobg==

Niliwahi Kuandika mada hapa jf Sasa yametimia 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEUx-wNtueW/?igsh=MWg2a2UydjV5ajB2OA==
 
Back
Top Bottom