Uchaguzi 2020 Je, waliotia nia CCM huku wakiwa wateule wa Rais Magufuli kutumbuliwa. Au waliomba ruhusa kama Rais alivyotaka?

Uchaguzi 2020 Je, waliotia nia CCM huku wakiwa wateule wa Rais Magufuli kutumbuliwa. Au waliomba ruhusa kama Rais alivyotaka?

Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi
Dc Katambi wa dodoma kachukua Shinyanga Mjini, Asumpta Rc Pwani kachukua fomu NKenge..
Kwa kauli ya rais wanaweza kosa vyote? Ama wengine ni untouchable
...na huku Bashite naye ndani!
 
Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi
Dc Katambi wa dodoma kachukua Shinyanga Mjini, Asumpta Rc Pwani kachukua fomu NKenge..
Kwa kauli ya rais wanaweza kosa vyote? Ama wengine ni untouchable
Ngoja tuone!
 
Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi
Dc Katambi wa dodoma kachukua Shinyanga Mjini, Asumpta Rc Pwani kachukua fomu NKenge..
Kwa kauli ya rais wanaweza kosa vyote? Ama wengine ni untouchable
Wewe ullzaliwa enzi Nyerere au Mkapa?

Unalikumbuka hili dongo "watanzania ni wapumbavu na malofa"

Karibu ktk ulimwengu wa malofa kama upo TZ [emoji1787][emoji1787]
 
Political Ambition,.....
who decides,I leave it up to you
 
Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi
Dc Katambi wa dodoma kachukua Shinyanga Mjini, Asumpta Rc Pwani kachukua fomu NKenge..
Kwa kauli ya rais wanaweza kosa vyote? Ama wengine ni untouchable
Assumpta ameshastaafu kama Mwanri
 
Nyerere...

So kauli ile ililenga wapunguza baadhi ya watu?
Nafikiri hata waliosema hawatachukua fomu sasa wanajuta na huenda wakabadili mawazo na kuchukua fomu.
Wewe ullzaliwa enzi Nyerere au Mkapa?

Unalikumbuka hili dongo "watanzania ni wapumbavu na malofa"

Karibu ktk ulimwengu wa malofa kama upo TZ [emoji1787][emoji1787]
 
Asumta hajawahi kuwa RC Maisha yake yote, usiyoyajua kaa kimya, alikua mkuu wa Wilaya ya Kibaha na Alishastaafu kitambo
Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi
Dc Katambi wa dodoma kachukua Shinyanga Mjini, Asumpta Rc Pwani kachukua fomu NKenge..
Kwa kauli ya rais wanaweza kosa vyote? Ama wengine ni untouchable
 
Kama Katambi hajaomba ruhusu ni vizuri lakini kiuhalisia hana ushawishi wowote ndani ya CCM Shinyanga na kwa utaratibu utakaotumika kumpata mgombea ndani ya CCM uchaguzi huu,ni vigumu mno kwake labda kama anataka kuweka tu kumbukumbu sawa kwa ajili ya baadae.
 
Sikia wewe sisi ndio wataalam bashite waziri wa mambo ya ndani 2021 - 2025 kukabiliana na wale wote waliopanga kufanya maandamano ya kudai katiba mpya na uonevu kwa wafanyabiashara na shura ya maimamu... n.k

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka hili ndio jambo litakalofanyika hivi karibuni , hasa baada ya RC aliyekuwepo kuomba ruhusa ya kugombea Ubunge na kukubaliwa .

Kama Mh Rais alivyosema mwenyewe kwamba ukiomba ruhusa utakubaliwa na nafasi yako itajazwa na wengine kwa mtindo wa Bandika bandua basi tunatarajia uteuzi mpya baada ya masaa machache yajayo .

Mungu ibariki Dar es Salaam .
 
hii post ina shida gani hadi isubirishwe wakati ndani yake kuna facts ambazo mkubwa alizitamka mwenyewe ?@Moderator
 
Back
Top Bottom