Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Ndiyo mkuu...yaani hao wanachi wao wapo ndani ya zone ya 50kph...sasa unakuta watu wameiba hicho kibao cha 50kph, anayekuja na kuingia anaingia kichwa kichwa...anakutana na manesi....Hii iko sawa. Huyu yuko ndani ya 50kph zone. Ninachozungumzia ni hiki kibao kinaondolewa halafu unaingia hapa anaekupiga picha akiwa huko kwenye bus