Je, wana Yanga SC baada ya Kufuzu hatua ya makundi CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la 'Losers'?

Je, wana Yanga SC baada ya Kufuzu hatua ya makundi CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la 'Losers'?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Simba SC (Makolo) waache kujitutumua kushiriki hilo, Kombe la Shirikisho kwani ni Kombe la watu walioshindwa (Losers) na wanamume pekee wamebaki kule Kombe la Klabu Bingwa na ndiyo wa kuwaheshimu", Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara.

Nitashukuru sana mno wana Yanga SC wote (hasa hasa wale) mnaonishambulia GENTAMYCINE tokea jana usiku baada ya klabu yenu kutinga rasmi makundi ya Kombe la Walioshindwa (waliofeli) kwa ngeli (Losers) kama alivyoliita Mungu mtu wenu na mtu mnayemuamini kwa kila akisemacho Haji Manara.
 
IMG_0866.jpg
 
Bado tunakomaa na wewe hadi useme ulitabiri ukiwa una wanga au?
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Loosers ) au?
 
With due respect; ni "losers" siyo "loosers".
Na ndiyo maana nimeandika kwa Kiswahili pia (ili nieleweke vyema) kwani sijui Kiingereza halafu sijasoma kama Wewe.

Hongera Kwako kwa kuwa that Wordsmith Mkuu sawa? Umeishi sana Ulaya na Marekani tofauti na MImi niliye hapa Tandale Uzuri.
 
Na ndiyo maana nimeandika kwa Kiswahili pia ( ili nieleweke vyema ) kwani sijui Kiingereza halafu sijasoma kama Wewe.

Hongera Kwako kwa kuwa that Wordsmith Mkuu sawa? Umeishi sana Ulaya na Marekani tofauti na MImi niliye hapa Tandale Uzuri.
That reaction was unnecessary! Anyways, sawa mkuu wangu, uwe na siku njema.
 
Jadili kuhusu Singida ilivyokupokonya point achana na yanga.
Mkuu, naomba upate 5 star english breakfast mahali popote ulipo, kuhusu malipo wewe niachie hiyo kazi ya kuchonga viazi.
 
"Simba SC (Makolo) waache Kujitutumua kushiriki hilo Kombe la Shirikisho kwani ni Kombe la Watu walioshindwa (Loosers) na Wanamume pekee wamebaki kule Kombe la Klabu Bingwa na ndiyo wa Kuwaheshimu" Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara.

Nitashukuru sana na mno wana Yanga SC wote (hasa hasa wale) mnaonishambulia GENTAMYCINE tokea jana Usiku baada ya Klabu yenu Kutinga rasmi Makundi ya Kombe la Walioshindwa (Waliofeli) kwa Ngeli (Loosers) kama alivyoliita Mungu Mtu Wenu na Mtu mnayemuamini kwa kila akisemacho Haji Manara.
Una nyege na Yanga wewe malaya
 
Kuna jamaaa mmoja nampata Ni mkuu wa radio fln hapa dsm wanatafuta mtu wa kuandika content ktk page zao na bloger zao za kimichezo nimemshauri akutafute ataku dm ili ukalipwa la 700,000 Kama posho ,huku ukiendelea na kazi zakoo
 
That reaction was unnecessary! Anyways, sawa mkuu wangu, uwe na siku njema.
Sawa mjua Kiingereza JamiiForums na Mhariri wa Maneno ya Kiingereza kwa akina GENTAMYCINE tusiokijua.
 
Jadili kuhusu Singida ilivyokupokonya point achana na Yanga.
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
 
Halafu walikua wanasema kuingia makundi sio mafanikio labda tubebe kombe, ss sijui wao tng jana wanashangilia nn
Na ndiyo maana hata Wendawazimu ( Mental Cases ) wengi wako katika Klabu hiyo iliyomtoa Mwarabu Club Africaine ya nchini Tunisia.
 
Back
Top Bottom