GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nataka niushauri Uongozi wangu wa Yanga SC kwamba tuwaombe CAF na hata TFF watuanzishe Ligi ' Maalum ' tu ambao Ushindi wake utakuwa ni wa Kupiga / Kupigiana tu Penati kwani naamini kwa Timu yetu ya Yanga SC tutafanya vyema kwakuwa tumesajili Wachezaji si wa Kucheza Soka bali ni wale tu wa Kupiga Penati za Kupewa na Waamuzi baada ya Sisi Kuwahonga au za Kiuchawi Uchawi tu.
Naamini wana Yanga SC wenzangu hapa JamiiForums mtanipa Ushirikiano wenu juu ya hili nililolishauri.
Wewe jamaa una ID ngapi humu?Nataka niushauri Uongozi wangu wa Yanga SC kwamba tuwaombe CAF na hata TFF watuanzishe Ligi ' Maalum ' tu ambao Ushindi wake utakuwa ni wa Kupiga / Kupigiana tu Penati kwani naamini kwa Timu yetu ya Yanga SC tutafanya vyema kwakuwa tumesajili Wachezaji si wa Kucheza Soka bali ni wale tu wa Kupiga Penati za Kupewa na Waamuzi baada ya Sisi Kuwahonga au za Kiuchawi Uchawi tu.
Naamini wana Yanga SC wenzangu hapa JamiiForums mtanipa Ushirikiano wenu juu ya hili nililolishauri.
Yanga haina utamaduni wa kwenda kulialia CAF au FIFA kama watani zetu. Yale mashitaka yaliyopekwa FIFA na Kaburu hadi leo hakuna jibu.Nataka niushauri Uongozi wangu wa Yanga SC kwamba tuwaombe CAF na hata TFF watuanzishe Ligi ' Maalum ' tu ambao Ushindi wake utakuwa ni wa Kupiga / Kupigiana tu Penati kwani naamini kwa Timu yetu ya Yanga SC tutafanya vyema kwakuwa tumesajili Wachezaji si wa Kucheza Soka bali ni wale tu wa Kupiga Penati za Kupewa na Waamuzi baada ya Sisi Kuwahonga au za Kiuchawi Uchawi tu.
Naamini wana Yanga SC wenzangu hapa JamiiForums mtanipa Ushirikiano wenu juu ya hili nililolishauri.
Mwandiko wake unamsaliti hats aje na ID 100hahahahah... Gentamcyne tangu lini umekuwa yanga?
NB. Ushauri mzuri umeutoa na mhimu zaidi CAF waangalie namna nzuri ya kuzpiga faina timu zinazoingia kwenye mashindano kwa bonasi halafu zinaishia kutoshinda hata mechi moja kwa uwanja wa nyumbani.