GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nataka niushauri Uongozi wangu wa Yanga SC kwamba tuwaombe CAF na hata TFF watuanzishe Ligi ' Maalum ' tu ambao Ushindi wake utakuwa ni wa Kupiga / Kupigiana tu Penati kwani naamini kwa Timu yetu ya Yanga SC tutafanya vyema kwakuwa tumesajili Wachezaji si wa Kucheza Soka bali ni wale tu wa Kupiga Penati za Kupewa na Waamuzi baada ya Sisi Kuwahonga au za Kiuchawi Uchawi tu.
Naamini wana Yanga SC wenzangu hapa JamiiForums mtanipa Ushirikiano wenu juu ya hili nililolishauri.
Naamini wana Yanga SC wenzangu hapa JamiiForums mtanipa Ushirikiano wenu juu ya hili nililolishauri.