The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 747
- 2,112
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi amehidi wananchi wake kuwa yuko tayari kupambana dhidi ya umaskini uliokithiri nchini humo.
Rais Tshisekedi ameahidi kuwaondoa raia milioni 20 wa Congo kutoka kwenye umaskini au umaskini uliokithiri katika miaka mitano ijayo na kwamba atajaribu kuboresha miundombinu kwa raia hao na huduma za kijamii na kiuchumi.
Je, unadhani Rais Tshisekedi, kiongozi anayedhaniwa kuwa kivuli cha mtangulizi wake, Joseph Kabila, anaweza kuleta maajabu katika mkwamuo wa kiuchumi pale Kinshasa?
Rais Tshisekedi ameahidi kuwaondoa raia milioni 20 wa Congo kutoka kwenye umaskini au umaskini uliokithiri katika miaka mitano ijayo na kwamba atajaribu kuboresha miundombinu kwa raia hao na huduma za kijamii na kiuchumi.
Je, unadhani Rais Tshisekedi, kiongozi anayedhaniwa kuwa kivuli cha mtangulizi wake, Joseph Kabila, anaweza kuleta maajabu katika mkwamuo wa kiuchumi pale Kinshasa?