Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 538
Mimi ndio nina sura mbaya hii JF nzimaSura mbaya kama ile itafanana vp na pesa wee dada? Kuwa serious basi sometimes
Mwenye sura mbaya alikuwa ni marehemu Masood peke yakeSura mbaya kama ile itafanana vp na pesa wee dada? Kuwa serious basi sometimes
JF ndio ilivyo mkuu. Watu wanakosoana bila kuweka facts bali wao ni porojo porojo tu.Kama yeye ni muongo, ukweli upo wapi mzee?
Sio kila mtu anapenda porojo. Mbona mimi ni mtu wa facts?JF ndio ilivyo mkuu. Watu wanakosoana bila kuweka facts bali wao ni porojo porojo tu.
Katika watu 20 wanaopenda porojo humu JF wewe ni number 3 baada ya yule shoga yako.Sio kila mtu anapenda porojo. Mbona mimi ni mtu wa facts?
Bila porojo huwezi ishi Dar mkuuJF ndio ilivyo mkuu. Watu wanakosoana bila kuweka facts bali wao ni porojo porojo tu.
Kwaiyo demokrasia kwao wamekuwa super power country? Tusidanganyane demokrasia kwa nchi za afrika wachumia tumbo tu.Aise Ghana ni nchi ya tofauti mno. Wale watu wamepiga hatua sana kwenye swala la demokrasia. Kule huruhusiwi kuvaa tishet la chama utembee barabarani kama siyo wakati wa uchaguzi. Mahakama ni huru kweli.
Hata mimi nimeshangaa sanaKwaiyo demokrasia kwao wamekuwa super power country? Tusidanganyane demokrasia kwa nchi za afrika wachumia tumbo tu.
Unashangaa nini sasa wakati na wewe ni mchumia tumbo tu?Hata mimi nimeshangaa sana
Njaa mbaya sana mkuuKwaiyo demokrasia kwao wamekuwa super power country? Tusidanganyane demokrasia kwa nchi za afrika wachumia tumbo tu.
Njaa ni shiiiiidaNjaa mbaya sana mkuu
Tena saaana. Njaa inaua dadaNjaa ni shiiiiida
Njaa sio mbaya kwa maana ndio inafundisha maishaNjaa mbaya sana mkuu
Mchumia tumbo kama Tundu Lissu?Unashangaa nini sasa wakati na wewe ni mchumia tumbo tu?
Utazidi kushangaa sana kama hauna malengo hapa dunianiHata mimi nimeshangaa sana
Kwanini unasema mwenzio hana malengo hapa duniani?Utazidi kushangaa sana kama hauna malengo hapa duniani
Kila mmoja aishi maisha yake na sio kuingilianaKwanini unasema mwenzio hana malengo hapa duniani?
Kuwa na malengo ni jambo la maana sana mkuuUtazidi kushangaa sana kama hauna malengo hapa duniani
Mimi nina malengo kama 17 hivi mwaka huuKuwa na malengo ni jambo la maana sana mkuu
Sio kuingiliana lakini kushauriana ni muhimu sana mkuuKila mmoja aishi maisha yake na sio kuingiliana