akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Hilo la kubadilika ghafla wakishapata madaraka ndiyo point, ila kujaza matumbo hakuna kazi isiyo na malipo hata padri kanisani anafanya kazi ili ale aishi ajenge nyumba apate mshahara siyo kumtumikia Mungu tu, na daktari vile vile hafanyi kazi ili aokoe maisha ya wagonjwa tuNchi nyingi Africa wana siasa bado wanafight ili waweze kujaza matumbo yao. Angalia wakosoaji wakipewa madaraka wanavyobadilika ghafla.
Poa bro.ahsante sana kaka
Okay...Hilo la kubadilika ghafla wakishapata madaraka ndiyo point, ila kujaza matumbo hakuna kazi isiyo na malipo hata padri kanisani anafanya kazi ili ale aishi ajenge nyumba apate mshahara siyo kumtumikia Mungu tu
Mm huwa nalichukia hili neno DEMOKRASIADemokrasia ya nchi zetu ilianzishwa ili kujipatia pesa kutoka kwa wahisani Kama ilivyokuwa kupata pesa za wahisani kwa njia ya kuweka watu lockdown kipindi Cha korona.
Huwa nawashangaa watu wanashabikia kwa kufuata mkumbo tangu nilivyogundua kuwa democracy ni fursa kwa watu Sina ushabiki wa kijinga kwenye masuala ya vyma vya siasa.
Sawana daktari vile vile hafanyi kazi ili aokoe maisha ya wagonjwa tu
Kwanini unasema ni uhuni mtupu mkuu?Mm huwa nalichukia hili neno DEMOKRASIA
maana ni uhuni mtupu
It's your turn to eat? Really? Hahahahahahaaaaaaa
Safi sana mkuu. Lakini umesema "Ya Afrika hayamhusu" nani unamuongelea hapa mkuu?...Ya Afrika hayamhusu. Watu walisha toka kwenye zama za ujinga.
i). Je, kadri demokrasia ya vyama vingi inavyozidi kuenea mataifa mbalimbali ni nani anayenufaika?
Sawa mkuu...Wanasiasa wanatakiwa kupigania katiba kwanza Mimi naamini katiba ikiwa vizuri ndiyo tutapata demokrasia ya kweli.
Okay...Sasa wao wanahubiri demokrasia wakati katiba zetu zimejaa makandokando mengi.
Hivyo wengi wao wanatimiza wajibu tu ili wapate ruzuku hakuna mwenye nia ya dhati ya kusaidia raia.
Sawa mkuu...Ukitaka kujua pia hawa viongozi wapo kimasilahi jaribu kufuatilia katiba za vyama vyao vya siasa.
Katiba zao hazina tofauti na katiba ya nchi zimempa mamlaka makubwa mwenyekiti.
aisee...Ukionekana kwenda kinyume unaondolewa uanachama kama ulikuwa mbunge automatically unapoteza nafasi yako ya Ubunge.
Amen mkuuItoshe kusema ni ngumu sana kudefine African leadership. Kijana mwenzangu Infantry soldier tuendelee tu kuwa wazalendo na tuipende Nchi yetu.
Daaah...Demokrasia katika Afrika ni fursa za kupokezana ulaji au kuuza utu wa wengine kwa maslahi binafsi ya wachache.
Bila shaka una maanisha serikali ya mseto? Eti mkuu?Ili Afrika tuendelee tunahitaji kuondoa kabisa mirija ya ukoloni mamboleo. Hii itawezekana tu iwapo baadhi ya vifungu vya katiba za nchi wanachama wa AU vitabadilishwa ili kutoa nafasi kwa wapinzani kuwa sehemu ya tawala.
Sawa mkuu...Aise Ghana ni nchi ya tofauti mno. Wale watu wamepiga hatua sana kwenye swala la demokrasia.
Sawa mkuuKule huruhusiwi kuvaa tishet la chama utembee barabarani kama siyo wakati wa uchaguzi. Mahakama ni huru kweli.
Sawa sawa mkuu...kwa vyovyote vile jibu litakavyokuwa je ni kwa namna gani jamii inashiriki katika siasa za Africa na kwa mantiki hiyo kuwa na uhitaji wa vuguvugu la kuleta demokrasia?
je ushiriki wa jamii ya Africa katika siasa za mataifa yao baada ya uhuru upoje?
Mimi nimeuliza maswali wewe unaishia kusema " sawa mkuu"??Sawa sawa mkuu...
Mkuu, nimependa sana umeandika comments ndefu sana na yenye point hivyo ninapenda kukosoa na kupongeza kipengele baada ya kipengeleMimi nimeuliza maswali wewe unaishia kusema " sawa mkuu"??