Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #81
Kadi zipo wapi?Duuuh ndio nini? Acha kushangaa jiunge na CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadi zipo wapi?Duuuh ndio nini? Acha kushangaa jiunge na CCM.
Nenda CCM ofisi za kata yako.Kadi zipo wapi?
sawa mkuuMagufuli anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza.
Binafsi naona Rais Magufuli anapambana na UZEMBE NA RUSHWA kuliko marais wote waliopata kuiongoza Tanzania.Kadi zipo wapi?
Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.Duuuh...
Magufuli anafanya yaliyowashinda viongozi wengi wa Africa.Kadi zipo wapi?
Mbona Rais Magufuli anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Magufuli.Asante kwa taarifa mkuu...
Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.Asante kwa taarifa mkuu...
Sawa mkuu. Sasa hivi yupo wapi? CUF?Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Sahihi kabisa mkuu...Cha muhimu ni kuwa na katiba bora zinazo wezesha hawa jamaa kupelekwa mbele ya pilato ikibidi.
Okay...Ni vizuri pia kuwa na wananchi wenye ufahamu na uwezo wa kudai haki zao.
Chadema ni genge la wakora ,wakuogopwa kama ugonjwa wa ukoma,hawafai.Sawa mkuu. Sasa hivi yupo wapi? CUF?
Nimekusoma sana mzee baba...Dunia nzima wapigaji wapo tofauti ni kwenye demokrasia halisi, institutions hufanya kazi yake kwingineko wanalindana.
Asante sana mkuu. Hakika unajua sana kuchambua.China kuna tofauti lakini wako wngi wanao jihisi hawako huru bali wahanga wa ukondoo wa uMao zeDong.
CCM yapokea kwa mshtuko taarifa ya ajali mbaya ya Wasanii Belle 9 na Bonge la Nyau, yawatakia uponyaji wa haraka!Sawa mkuu. Sasa hivi yupo wapi? CUF?
Lissu anajifanya hajui unafiki wa CHADEMA, aibu atakayopata anaweza akakimbia Nchi.Asante kwa taarifa mkuu...
Chadema walilamikia ufisadi ila Magufuli ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema.Asante kwa taarifa mkuu...
Sawa mkuu...Mada nzuri kbs naomba univumilie mie sio muandishi mzuri sna.
Chadema walilamikia ufisadi ila Magufuli ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema.Asante sana mkuu. Hakika unajua sana kuchambua.