Je, Wanasimba tuendelee kufurahia ushindi wa mbeleko?

Je, Wanasimba tuendelee kufurahia ushindi wa mbeleko?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Mimi kama mdau wa soka na shabiki ndaki ndaki wa Simba (makolo in prular form) natumia pale makolo wenzangu wanapofurahia ushindi wa kubebwa na refa.

Tunazidi kuiharibu timu yetu .. imagine Jana tumeingiza Hadi nyota wa kimataifa, wachezaji wenye mvi, bado tukabebwa na refa lakini bado tume hustle kushinda.

NB: Bora hata wenzetu Yanga walipeleka kikosi C & D na mwakani naskia kwenye mapinduzi Yanga watapeleka Yanga princess.
 
Mimi kama mdau wa soka na shabiki ndaki ndaki wa Simba (makolo in prular form) natumia pale makolo wenzangu wanapofurahia ushindi wa kubebwa na refa.

Tunazidi kuiharibu timu yetu .. imagine Jana tumeingiza Hadi nyota wa kimataifa, wachezaji wenye mvi, bado tukabebwa na refa lakini bado tume hustle kushinda.

NB: Bora hata wenzetu Yanga walipeleka kikosi C & D na mwakani naskia kwenye mapinduzi Yanga watapeleka Yanga princess.
Unasikilizia maumivu ukiwa wapi?

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Inasikitisha mkuu ...bila refa Simba sio kitu

Mkuu mbona jana ulipotea ghafla wakati tulikuwa tunaenda vizuri tu na updates? 🤣🤣🤣

1704959059590.png
 
Mimi kama Kolombwee ushindi huu sijafurahia kabisa.
Sababu bila refa kutubeba ilikua tusha dhalilishwa.
Kwa timu hii tutaendelea kupigwa goli tano na mabingwa wa kihistoria mpaka tupatwe na kichefu chefu.
Kwa Simba hii .... mechi za mikoani wajiandae[emoji23]
 
Mimi kama mdau wa soka na shabiki ndaki ndaki wa Simba (makolo in prular form) natumia pale makolo wenzangu wanapofurahia ushindi wa kubebwa na refa.

Tunazidi kuiharibu timu yetu .. imagine Jana tumeingiza Hadi nyota wa kimataifa, wachezaji wenye mvi, bado tukabebwa na refa lakini bado tume hustle kushinda.

NB: Bora hata wenzetu Yanga walipeleka kikosi C & D na mwakani naskia kwenye mapinduzi Yanga watapeleka Yanga princess.
Mmechanganyikiwa, mmeshindwa kujua wa kumlalamikia ni Simba, refa au Kagere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom