Kushinda kumbe ni aibu?Kabisa mkuu...japo ni kwa aibu
Aisee! Kweli kipigo kimekuchanganya, hadi umesahau location! 🤣Wapi mkuu
Kama mpira wenyewe utakuwa unachezwa na kusimamiwa namna ile ya jana, basi hakika mashindano ya Mapinduzi yanaenda kupoteza mvuto wake. APR wametoa ya oyoni na wamesema hawarudi tena.Mimi kama mdau wa soka na shabiki ndaki ndaki wa Simba (makolo in prular form) natumia pale makolo wenzangu wanapofurahia ushindi wa kubebwa na refa.
Tunazidi kuiharibu timu yetu .. imagine Jana tumeingiza Hadi nyota wa kimataifa, wachezaji wenye mvi, bado tukabebwa na refa lakini bado tume hustle kushinda.
NB: Bora hata wenzetu Yanga walipeleka kikosi C & D na mwakani naskia kwenye mapinduzi Yanga watapeleka Yanga princess.
Waleteni tu siyo kuwafunga tu tutawadinya piaMwakani naskia Yanga watapeleka Yanga princess [emoji23]
Sana mkuu bila refa Yanga S ingefunga penati zote na Simba wangetolewa kwa hiyo mikwaju 😏Inasikitisha mkuu ...bila refa Simba sio kitu
Ni aibu mkuu... that's y Yanga walipeleka kikosi C & DKama mpira wenyewe utakuwa unachezwa na kusimamiwa namna ile ya jana, basi hakika mashindano ya Mapinduzi yanaenda kupoteza mvuto wake. APR wametoa ya oyoni na wamesema hawarudi tena.
Singida wao kwa kuwa ni Wazalendo watarudi tena vinginevyo nao wasingerudi tena. Mpira uliozaa kona na kona ikazaa goli ni mpira uliotika. Kibendera na Refarii wa kati wanatofautiana maamuzi, lkn hata picha za marejeo ni wazi mpira ule ulitoka pasi na shaka. Simba jana Imebebwa.
Sahihi Mkuu...Simba iombe radhiMimi kama mwanayanga kindakindaki a.k.a utopolo au [emoji196][emoji196][emoji196] nasema hivi Simba wamebebwa inabidi sisi wanauto tuungane pamoja tuuchomoe ule mwiko kule nyuma na tuwapige nao ili waanguke wasibebwe tena.
Eeeh kweli, raja pia tulibebwa, ngoja tuone mechi ijayo...Mimi kama Kolombwee ushindi huu sijafurahia kabisa.
Sababu bila refa kutubeba ilikua tusha dhalilishwa.
Kwa timu hii tutaendelea kupigwa goli tano na mabingwa wa kihistoria mpaka tupatwe na kichefu chefu.
Hata APR walipeleka kikosi L na kuitoa hiyo iliyopeleka kikosi C 😂😂Yanga walishajua kuwa hayo mashindano ni ya mchongo that's y walipeleka kikosi C & D