Je, Wanasimba tuendelee kufurahia ushindi wa mbeleko?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upuuzi wewe ni Yanga dam: Usiwalishe wana Simba mambo ya ajabu.
What if Dakika za nyongeza Singida wangeongeza goli mbili Simba ikatolewa kwa 3 bila mngesemaje?
Mngelalamika ?
 
Mbona nyie mlibebwa juzi mkaongezewa dk9 nzima
Bora sisi tumebebwa na kubebeka

Nyie mkabebwa na miguu bado ikaburuza chini

Utopolo acheni kelele zenu
 
Wewe sio mdau wa soka bali ni utopolo uliyepitiliza
 
Mbona nyie mlibebwa juzi mkaongezewa dk9 nzima
Bora sisi tumebebwa na kubebeka

Nyie mkabebwa na miguu bado ikaburuza chini

Utopolo acheni kelele zenu
Sio kweli mkuu
 
Nyie vyura si ndo mlibebwa juzi mpk dkk ya 9 ilimfunge goli la pili...
Wafungwe singid mlie nyie...
Yani tumewafunga UtopoSingi....
 
Imewaumaaaaaa nyuma mwiko....
MWaka huu tunatinga fainali kila sehemu bila kueleweka yani...mtabaki na vi maswali vyenu huku tunayeya...
 
Nyie vyura si ndo mlibebwa juzi mpk dkk ya 9 ilimfunge goli la pili...
Wafungwe singid mlie nyie...
Yani tumewafunga UtopoSingi....
Japo mm ni mwanasimba ...ila lazima niseme ukweli... tumebebwa na refa
 
Imewaumaaaaaa nyuma mwiko....
MWaka huu tunatinga fainali kila sehemu bila kueleweka yani...mtabaki na vi maswali vyenu huku tunayeya...
Kwa kubebwa huku .... usije shangaa kukandwa 5 [emoji113] na Yanga
 
Lini umeanza kushabikia simba amfibia wewe nani asiekujua wanafungwa singida mnaumia nyinyi
 
Kwa kubebwa huku .... usije shangaa kukandwa 5 [emoji113] na Yanga
Umesahau dkk 9 za juzi kwenue eee...
Tuliza wenge kijana...
Huu muda kula vzr lala vizuri uweke energy ya kumshabikia mnyama kesho akipokea milioni 100 zake..
 
Japo mm ni mwanasimba ...ila lazima niseme ukweli... tumebebwa na refa
Refa alikubeba na ww kwny mashindano hay haya...mkubwa lazima aheshimiwe..sisi ni wakubwa..lazima tuheshimiwe kuanzia na nyasi za kiwanja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…