Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Wanaume je mpo tayari kufanyiwa vasectomy kuwasaidia wake zenu kutopata mimba na kuzaa tena au kuitoa km mna watoto tayari katika mipango yenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume kama hataki mtoto si anamwaga nje tu.Wanaume je mpo tayari kufanyiwa vasectomy kuwasaidia wake zenu kutopata mimba na kuzaa tena au kuitoa km mna watoto tayari katika mipango yenu?
Wakikufanyia hivyo utamu wa bao bado upo au ndio umakojowa bao hewa?A vasectomy is a surgical procedure that prevents sperm from entering semen, making it a form of male birth control. It's a permanent procedure that's often performed as a means of contraception.
Hapana aisee
itz now ofisho mr mzabzab can not impregnate anyone bikoz ov wat he did to hiz jenitaz,,,hi iz uziles.Wakikufanyia hivyo utamu wa bao bado upo au ndio umakojowa bao hewa?
Beta to biii uzies aloni aloni than tuu bii uziles babaitz now ofisho mr mzabzab can not impregnate anyone bikoz ov wat he did to hiz jenitaz,,,hi iz uziles.
Utamu upo kwenye bao kutoka, kwahy hapo hakuna utamu mana bao halitotoka nje, ww n kupeleka moto tuu mpaka misuli ichoke iwe hoiWakikufanyia hivyo utamu wa bao bado upo au ndio umakojowa bao hewa?
Litatoka nje sijaelewa hapo...shahawa unamwaga au ndio wanakata mirija humwagi kituUtamu upo kwenye bao kutoka, kwahy hapo hakuna utamu mana bao halitotoka nje, ww n kupeleka moto tuu mpaka misuli ichoke iwe hoi
C ndo wanakata mrija hvy nyege hazitoki, hvy hapo hakuna utamuLitatoka nje sijaelewa hapo...shahawa unamwaga au ndio wanakata mirija humwagi kitu
Eeh utamu hamna tena sasa huo ni mpango wa uzazi au kuuana kabisaC ndo wanakata mrija hvy nyege hazitoki, hvy hapo hakuna utamu