Nani alikupima tezi dume kwa njia hiyo? Alikua na nia gani kwamba aliona akifanya Transabdominal haitoshi ๐คฃLakini sii hamna kutia vidole kwa mkunduz kama vile wanavyopima tezi dume
Kama Wayne Rooney alivyoamua kufanyiwa vasectomyWanaume je mpo tayari kufanyiwa vasectomy kuwasaidia wake zenu kutopata mimba na kuzaa tena au kuitoa km mna watoto tayari katika mipango yenu?
... kutopata mimba na kuzaa tena ...kama mna watoto tayari katika mipango yenu?
Umeelewa nini hapo?Mwanaume ufungwe kazazi wakati unatakiwa uendeleze kizazi duniani. Ufungwe kizazi mwanamke akikuacha bila watoto si utakuwa ni ufala, utaenda kuzaa na mwanamke gani kama huzalishi?
Mashine inasimama vzr ila wazungu huwaoni labla upande pipa uende Ulaya, sasa ww baby wangu unavyopenda kuwaona wazungu wangu nikifanya hvy nitakuwa nimekudhulumu binafsi hvy siwezi kufanya hy operesheni.Hatamimi ningekataa๐ ,,yani nalala na janaume linakua gogo sasa woooiiii my wangu usikubaliiii huko uliko
Ukajikuta unaitwa Ashura ๐Ok...wasije kosea wakakata mbupuz yote
Nipo baby, naomba ht ile namba yako hupatikan cjui umebadili namba ๐kumbe upo
N mpango wa kutotia mimbaEeh utamu hamna tena sasa huo ni mpango wa uzazi au kuuana kabisa
Nilsahau kama nilkubuloku bwan umenkumbusha๐ฅฒNipo baby, naomba ht ile namba yako hupatikan cjui umebadili namba ๐
Hahahaha ๐ ๐ ๐ ๐ ๐๐พ ๐คฃ ๐ ๐๐พMashine inasimama vzr ila wazungu huwaoni labla upande pipa uende Ulaya, sasa ww baby wangu unavyopenda kuwaona wazungu wangu nikifanya hvy nitakuwa nimekudhulumu binafsi hvy siwezi kufanya hy operesheni.
Haihusiani na kudinda au utamu mzee; iyo ni sterilization ila kuna zingine ni temporaryWakikufanyia hivyo utamu wa bao bado upo au ndio umakojowa bao hewa?