Je wanaume tunaruhusiwa kutazama mechi za shirikisho?

Watu mnaopenda kujitambulisha kama wanaume mara nyingi huwa mna mapungufu makubwa kuitwa wanaume.
Ni sawa na mtu asiye na hela kutamba eti kuwa ana hela.Tajiri huwezi kumsikia akijisifia eti mimi nina hela sana.Ila watu wasio na hela,machawa na wadangaji wako mstari wa mbele kutamba kuwa wana hela.
Mwanaume halisi hawezi kujisifia kuwa yeye ni mwanaume.Uanaume upo hata asipojitamba!
 
Wanaume hawana vikao vya kizembe na umbea kama huo.Labda wanaume umbo tu ila ndani sio wanaume
 
Inatakiwa upewe tuzo ya shabiki Bora mpira wa nyumbani maana mda huo kulikuwa na game ya Al Hilal na Al Nasr game ilikuwa ya moto sana ukiangalia na Ile ya coastal uzalendo ukanishinda
[emoji23][emoji23]
 
Hapana mkuu... mwanaume kamilii ni yule mpambanaji haswa.....( Cfcl) ....na sio mpenda slop ( looser cup)
 
Ukweli ni kupoteza muda kuangalia kombe la shirikisho
 
Hapana mkuu... mwanaume kamilii ni yule mpambanaji haswa.....( Cfcl) ....na sio mpenda slop ( looser cup)
Haiwezi kubadili ukweli iwapo miaka yote mlishiriki mashindano hayo mkajisikia wanawake,basi hata cfcl mtaendelea kujisikia mademu tu
 
S1wa jisifie basi wewe ni mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…