Je wanaume tunaruhusiwa kutazama mechi za shirikisho?

Je wanaume tunaruhusiwa kutazama mechi za shirikisho?

Salaam alaikum wakuu
Baada ya kushuhudia soka safi la Caf Champions Ligi mechi Bora sana za kiume ambazo mpinzani anapigwa goli nne. Lakini bado anapambana kuliko makolo nimejikuta najiuliza maswali haya.

Je: ni sahihi Kwa sisi wanaume kukaa kwenye tv/ kwenda uwanjani kutazama mechi za shirikisho?

Mtazamo wangu
Binasfi Kwa saizi kombe la shirikisho( looser cup)
Watu mnaopenda kujitambulisha kama wanaume mara nyingi huwa mna mapungufu makubwa kuitwa wanaume.
Ni sawa na mtu asiye na hela kutamba eti kuwa ana hela.Tajiri huwezi kumsikia akijisifia eti mimi nina hela sana.Ila watu wasio na hela,machawa na wadangaji wako mstari wa mbele kutamba kuwa wana hela.
Mwanaume halisi hawezi kujisifia kuwa yeye ni mwanaume.Uanaume upo hata asipojitamba!
 
HAPANA, naomba mzingatie makubaliano yote tuliyokubaliana katika kikao cha Mwisho cha Wanaume

Narudia, tulikubaliana kuwa mechi ya Shirikisho iangaliwe na Wanawake wakubwa kwa Wadogo na Wavulana ambao hawajapitia jando bado

Naomba tuwe makini katika kunote yale tunayokubaliana katika vikao vyetu.
Wanaume hawana vikao vya kizembe na umbea kama huo.Labda wanaume umbo tu ila ndani sio wanaume
 
Inatakiwa upewe tuzo ya shabiki Bora mpira wa nyumbani maana mda huo kulikuwa na game ya Al Hilal na Al Nasr game ilikuwa ya moto sana ukiangalia na Ile ya coastal uzalendo ukanishinda
[emoji23][emoji23]
 
Watu mnaopenda kujitambulisha kama wanaume mara nyingi huwa mna mapungufu makubwa kuitwa wanaume.
Ni sawa na mtu asiye na hela kutamba eti kuwa ana hela.Tajiri huwezi kumsikia akijisifia eti mimi nina hela sana.Ila watu wasio na hela,machawa na wadangaji wako mstari wa mbele kutamba kuwa wana hela.
Mwanaume halisi hawezi kujisifia kuwa yeye ni mwanaume.Uanaume upo hata asipojitamba!
Hapana mkuu... mwanaume kamilii ni yule mpambanaji haswa.....( Cfcl) ....na sio mpenda slop ( looser cup)
 
Watu mnaopenda kujitambulisha kama wanaume mara nyingi huwa mna mapungufu makubwa kuitwa wanaume.
Ni sawa na mtu asiye na hela kutamba eti kuwa ana hela.Tajiri huwezi kumsikia akijisifia eti mimi nina hela sana.Ila watu wasio na hela,machawa na wadangaji wako mstari wa mbele kutamba kuwa wana hela.
Mwanaume halisi hawezi kujisifia kuwa yeye ni mwanaume.Uanaume upo hata asipojitamba!
Ukweli ni kupoteza muda kuangalia kombe la shirikisho
 
Hapana mkuu... mwanaume kamilii ni yule mpambanaji haswa.....( Cfcl) ....na sio mpenda slop ( looser cup)
Haiwezi kubadili ukweli iwapo miaka yote mlishiriki mashindano hayo mkajisikia wanawake,basi hata cfcl mtaendelea kujisikia mademu tu
 
Watu mnaopenda kujitambulisha kama wanaume mara nyingi huwa mna mapungufu makubwa kuitwa wanaume.
Ni sawa na mtu asiye na hela kutamba eti kuwa ana hela.Tajiri huwezi kumsikia akijisifia eti mimi nina hela sana.Ila watu wasio na hela,machawa na wadangaji wako mstari wa mbele kutamba kuwa wana hela.
Mwanaume halisi hawezi kujisifia kuwa yeye ni mwanaume.Uanaume upo hata asipojitamba!
S1wa jisifie basi wewe ni mwanamke
 
Back
Top Bottom