Je wanaume tunaruhusiwa kutazama mechi za shirikisho?

Je wanaume tunaruhusiwa kutazama mechi za shirikisho?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaam alaikum wakuu
Baada ya kushuhudia soka safi la Caf Champions Ligi mechi Bora sana za kiume ambazo mpinzani anapigwa goli nne. Lakini bado anapambana kuliko makolo nimejikuta najiuliza maswali haya.

Je: ni sahihi Kwa sisi wanaume kukaa kwenye tv/ kwenda uwanjani kutazama mechi za shirikisho?

Mtazamo wangu
Binasfi Kwa saizi kombe la shirikisho( looser cup)

1719549091979.jpg
 
HAPANA, naomba mzingatie makubaliano yote tuliyokubaliana katika kikao cha Mwisho cha Wanaume

Narudia, tulikubaliana kuwa mechi ya Shirikisho iangaliwe na Wanawake wakubwa kwa Wadogo na Wavulana ambao hawajapitia jando bado

Naomba tuwe makini katika kunote yale tunayokubaliana katika vikao vyetu.
 
HAPANA, naomba mzingatie makubaliano yote tuliyokubaliana katika kikao cha Mwisho cha Wanaume

Narudia, tulikubaliana kuwa mechi ya Shirikisho iangaliwe na Wanawake wakubwa kwa Wadogo na Wavulana ambao hawajapitia jando bado

Naomba tuwe makini katika kunote yale tunayokubaliana katika vikao vyetu.
Na ukipatikana mwanaume unachek looser cup unaleftishwa group
 
Mpumbavu wewe unecheza shirikisho miaka kibaoo leo unajifanya mwanaume.

Haya tuambie uanamke miaka hiyo unacheza shirikisho umekutokaje
At least that time ..... there was stiff competition
 
Salaam alaikum wakuu
Baada ya kushuhudia soka safi la Caf Champions Ligi mechi Bora sana za kiume ambazo mpinzani anapigwa goli nne. Lakini bado anapambana kuliko makolo nimejikuta najiuliza maswali haya.

Je: ni sahihi Kwa sisi wanaume kukaa kwenye tv/ kwenda uwanjani kutazama mechi za shirikisho?

Mtazamo wangu
Binasfi Kwa saizi kombe la shirikisho( looser cup)
Masikini akipata sasa 😆😆😆.
 
Back
Top Bottom