daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Angalia sinema zetuSalaam alaikum wakuu
Baada ya kushuhudia soka safi la Caf Champions Ligi mechi Bora sana za kiume ambazo mpinzani anapigwa goli nne. Lakini bado anapambana kuliko makolo nimejikuta najiuliza maswali haya.
Je: ni sahihi Kwa sisi wanaume kukaa kwenye tv/ kwenda uwanjani kutazama mechi za shirikisho?
Mtazamo wangu
Binasfi Kwa saizi kombe la shirikisho( looser cup)