Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Mtu akimkata mtu kichwa watu wanakuja juu, kuepusha Shari ni kujiweka pembeni tu km yule mwamba aliegundua mke anaetaka kumuoa Jana yake alilala na mpenzi wake wa zamani alafu kibaya zaidi na kwenye sherehe akaudhulia pia yaan Jana umekula mke wangu alafu leo unakuja kusherehekea ukumbini ukimuona anaolewa na Mimi wakati Jana yake umetoka kumfunuafunua na kumkunjakunja mikunjo yote unayoijua mpaka unataka kumtia ulemavu kwa kumkunjakunja na mbaya zaidi ukapita barabara zote vumbi na lami
. Uvumulimu unahitajika,
Ni bora kukaa tu single, zaa watoto pembeni, umri ukifika 50+ oa sasa mzee mwezio ili mmalizie uzee.
 
Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia[emoji18]nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.

Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.

Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu[emoji122]

Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.

Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini[emoji122]

Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika[emoji4]
Najiombea nilikubali hili kama wewe...ni ngumu
 
Kusahaulina ni ngumu sana mimi jana nmepigiwa naulizwa tu kujiunga instagram
Aisee, ile misuko suko yote ya zamani tayari umesha sahau ndani ya sekunde moja.
 
Ukitaka kuolewa haya nenda kwa mkemia mkuu, kwani idadi ya wanaume wanao bambikiwa mimba inongezeka kila siku na ndio maana US kuna baadhi ya wanaharakati wa kike wanapinga Paternity test kuwa lazima pindi mtoto anapo zaliwa.
 
Najiombea nilikubali hili kama wewe...ni ngumu
Kumbukumbu inaniambia kuwa ilinichukua miaka mitano kutoa kinyongo na chuki niliyokuwa nayo dhidi yake na nj baada ya kuanza kufunga na kusali nikijitia ninauchungu saaaaanaa😏😏

Semina moja ya Mwakasege ilinibadilisha kila kitu nikaanza kujitafakari tangu tumekutana,aliyoyafanya juu yangu kabla hatujapata watoto na baada ya kuachana.ni nini kigetokea kama tusingeachana?ningekuwa hapa nilipo sasa?narudi pale pale kila kitu kinachotokea maishani kwetu kinakuwa na makusudi.

So take your time utakaa sawa tu😊
 
Ukitaka kuolewa haya nenda kwa mkemia mkuu, kwani idadi ya wanaume wanao bambikiwa mimba inongezeka kila siku na ndio maana US kuna baadhi ya wanaharakati wa kike wanapinga Paternity test kuwa lazima pindi mtoto anapo zaliwa.
Mkuu, hata hao wakemia wakuu nao hawatoi majibu ya ukweli siku hizi, siyo wa kuwaamini kabisa Aise.
 
Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.

Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.

Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏

Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.

Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏

Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊
Kawadanganye wajinga wajinga
 
Kumbukumbu inaniambia kuwa ilinichukua miaka mitano kutoa kinyongo na chuki niliyokuwa nayo dhidi yake na nj baada ya kuanza kufunga na kusali nikijitia ninauchungu saaaaanaa😏😏

Semina moja ya Mwakasege ilinibadilisha kila kitu nikaanza kujitafakari tangu tumekutana,aliyoyafanya juu yangu kabla hatujapata watoto na baada ya kuachana.ni nini kigetokea kama tusingeachana?ningekuwa hapa nilipo sasa?narudi pale pale kila kitu kinachotokea maishani kwetu kinakuwa na makusudi.

So take your time utakaa sawa tu😊
Hongera sana mkuu, zidi kusali kama ulivyo amua, ili shetani asikuludie tena kwa mara ya pili 🤔.
 
Mda bado ninao kumbe ni mapema sana kidonda bado kibichi
Kumbukumbu inaniambia kuwa ilinichukua miaka mitano kutoa kinyongo na chuki niliyokuwa nayo dhidi yake na nj baada ya kuanza kufunga na kusali nikijitia ninauchungu saaaaanaa😏😏

Semina moja ya Mwakasege ilinibadilisha kila kitu nikaanza kujitafakari tangu tumekutana,aliyoyafanya juu yangu kabla hatujapata watoto na baada ya kuachana.ni nini kigetokea kama tusingeachana?ningekuwa hapa nilipo sasa?narudi pale pale kila kitu kinachotokea maishani kwetu kinakuwa na makusudi.

So take your time utakaa sawa tu😊
 
Back
Top Bottom