Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

😀😀, mimi bado ma EX nawatafuna, nahisi kama nitaoa basi nitampa heshima tu... Ila Ex nitaendelea nao kishkaji..
Ok boss, ila usisahau kuwa circle yako ndo inakupa mke. Usitegemee kupata mke kutoka kwenye circle nje ya mfumo wako wa maisha.

Kama X zako hata wakiolewa wanakutanulia miguu usijiweke kwenye kundi la watu special sana wasiokataliwa kimapenzi, jaribu kutazama mfumo wako wa maisha unakukutanisha na wanawake wa aina gani.
 
Habari wana JF,Poleni na majukumu ya hapa na pale [emoji1666].

Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli mwanamke anaweza kusahau kabisa "EX" wake, hasa anapopata nafasi ya kukutana naye tena. Nimegundua kwamba "EX" wangu wote, hata kama walikuwa na uchungu kuhusu kutengana, kamwe hawakatai kukutana nami ninapowaomba tena Baraka zao, awe ameolewa au awe hajaolewa wananipa naogelea kama kawaida.

Sijawahi kukutana na upinzani wowote kutoka kwa "EX" zangu, hata wale ambao hatujawasiliana kwa miaka kadhaa kutokana na umbali au sababu nyingine za kibinadam. Kila mara tunapokutana, tunapata "BURUDIKO," hata kama wapo katika mahusiano mapya.

Hii inanifanya kuwa na wasiwasi kwa sababu najisikia kama vile wasichana nilio nao katika uhusiano nao wanafanya hivyo hivyo, pia kushindwa kuzuia ombi la kukutana na "EX" zao, hata kama wananithibitishia hawatarudi nyuma. Naona Ni ngumu sana kuamini, hasa inapokuwepo nafasi ya kukutana tena.

Kauli yangu ni moja tu, Kula Tunda Mara Moja Waachie Wezio [emoji41][emoji41].
Itakuwa una maokoto mkuu
 
Ok boss, ila usisahau kuwa circle yako ndo inakupa mke. Usitegemee kupata mke kutoka kwenye circle nje ya mfumo wako wa maisha.

Kama X zako hata wakiolewa wanakutanulia miguu usijiweke kwenye kundi la watu special sana wasiokataliwa kimapenzi, jaribu kutazama mfumo wako wa maisha unakukutanisha na wanawake wa aina gani.
Ni kweli mkuu, kuhusu wanawake wanao nizinguka ni wengi sana, kutokana na kazi ninazo fanya za kijamii...
 
Hahahahhahahahahah

-Aisifiaye mvua ujue imemnyea

-Siri ya mtungi aijuaye kata.

-Adhabu ya kaburi aijuaye maiti

Na methali nyingine utaongezea

Ila ni wazi kuwa hawa vijana wa kataa ndoa ni UTAPELI watakuwa wamewahi pigwa na kitu kizito kwenye mahusiano sio bure [emoji23][emoji23]

Nawasilisha Kwa unyenyekevu mkubwa sana
 
Hahahahhahahahahah

-Aisifiaye mvua ujue imemnyea

-Siri ya mtungi aijuaye kata.

-Adhabu ya kaburi aijuaye maiti

Na methali nyingine utaongezea

Ila ni wazi kuwa hawa vijana wa kataa ndoa ni UTAPELI watakuwa wamewahi pigwa na kitu kizito kwenye mahusiano sio bure [emoji23][emoji23]

Nawasilisha Kwa unyenyekevu mkubwa sana
😀😀, sasa Mkuu huoni kama wanakushauri kitu kizuri..
 
Mmmh napita hapa nimekuona hahisi kama ni pepo hivi yaani ngoja nichungilie vizuri utamu wako wa kipindi kileeeee
IMG_0575.jpg
 
Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia[emoji18]nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.

Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.

Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu[emoji122]

Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.

Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini[emoji122]

Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika[emoji4]

Mi sio nabii ila baba watoto atakua yupo vizuri financially
 
Back
Top Bottom