Je, wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani?

Je, wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani?

Distant Relatives

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2020
Posts
415
Reaction score
731
Habari wadau?

Kwanza naomba ieleweke lengo la hoja hii ni kuelimishana.

Nilikuwa nasikiliza mawaidha ya Sheikh, ambaye bahati mbaya sijaweza mpata jina, akielezea juu ya maisha baada ya kifo. Ujumbe wake ni kuwa wanadamu watii maamrisho ya Mungu, huku wakiahidiwa pepo yenye maisha ya starehe. Pepo hiyo wanaume wanaahidiwa kupewa wanawake bikra 72 (hulain).

Sikumsikia akielezea wanawake watapewa nini.

Swali langu ni kuwa wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani? Kipi cha kuwastarehesha walichoahidiwa?
 
Sasa huyyu Bwana mkubwa akimaliza kuwashughulikia mabikra 72 kazi ambayo sio rahisi especially Kama Ni mtu wa Dar. Hawa mabikra ambao sasa wamekua wanawake wa kawaida sana, anakua mume wao ama inakuwaje?
 
Sasa huyyu Bwana mkubwa akimaliza kuwashughulikia mabikra 72 kazi ambayo sio rahisi especially Kama Ni mtu wa Dar. Hawa mabikra ambao sasa wamekua wanawake wa kawaida sana, anakua mume wao ama inakuwaje?
Ulivyoandika ni applicable Duniani tu si peponi huko hakuna msamiati kuchoka, kinai nk

You can't imagine just God give to you is a small picture.
 
Kwani katika huo mgegedo wanawake sio wanufaika? Au hao 72 wataumbwa wapya kisha hoja yako ni kuhusu hawa tunaowatafuna saivi!!

Hata hivyo, ni stori za kusadikika tu za Sheikh Kipozeo.
 
Ulivyoandika ni applicable Duniani tu si peponi huko hakuna msamiati kuchoka, kinai nk

You can't imagine just God give to you is a small picture.
na hao wanawake 72 ni wa huku huku duniani au ni special creation?

na swali langu la msingi, wanawake wameahidiwa nini wao baada ya kutenda mema hapa duniani?
 
Pepo ya wanawake ni siri ya Allah kama ilivyo kwa malipo ya kufunga mwezi mtukufu wa ramadhan
 
na hao wanawake 72 ni wa huku huku duniani au ni special creation?

na swali langu la msingi, wanawake wameahidiwa nini wao baada ya kutenda mema hapa duniani?
72 sio wa Duniani na kuhusu kuhaidiwa vipo vingi wewe unachagua kwenye Mapenzi tu maziwa, matunda, ndege nk.

NB: ukichofunuliwa na Mungu kuhusu mazuri ya pepo ni sawa na punje ya mchanga fukweni
 
Pepo ya wanawake ni siri ya Allah kama ilivyo kwa malipo ya kufunga mwezi mtukufu wa ramadhan
Nadhani malipo ya kufunga ramadhani yako wazi, mfano kusamehewa dhambi. Na pia kila kumi lina malipo / faida zake zilizo wazi.

Usiri wa pepo umeandikwa kwenye quran/kuhadithiwa au tunaita ni usiri sababu haijaelezwa?
 
Back
Top Bottom