Je, wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani?

Je, wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani?

Sura al waqia..
35. Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
36. Na tutawafanya vijana
37. Wanapendana na waume zao, hirimu moja

Kuna aya sikumbuki sura gani nayo inazungumzia wanawake, kuwa watakuwa mahurain.

Hivyo kwa mujibu wa aya hiyo hapo, na ile nyingine nimesahau sura gani, wanawake watakaoingia peponi watakuwa ndio mahurain, watafanywa vijana, watakuwa mahurain(warembo kupita kiasi) jambo ambalo hapa duniani linawapeleka puta, kuusaka urembo.
Sisi wanaume tutapewa nguvu na wanawake wengi wazuri, jamvo ambalo linatupeleka puta.
Nao watapewa urembo jambo ambalo linawapeleka puta


Nikiipata na ile nyingine nitaongezea nyama.
 
umeelewa kilichoandikwa au umekurupuka hao wanawake 72 sio wakutoka Duniani ni wapo hukohuko.
Habari wadau?

Kwanza naomba ieleweke lengo la hoja hii ni kuelimishana.

Nilikuwa nasikiliza mawaidha ya Sheikh, ambaye bahati mbaya sijaweza mpata jina, akielezea juu ya maisha baada ya kifo. Ujumbe wake ni kuwa wanadamu watii maamrisho ya Mungu, huku wakiahidiwa pepo yenye maisha ya starehe. Pepo hiyo wanaume wanaahidiwa kupewa wanawake bikra 72 (hulain).

Sikumsikia akielezea wanawake watapewa nini.

Swali langu ni kuwa wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani? Kipi cha kuwastarehesha walichoahidiwa?
Mbona watapa upendeleo fulan hv wanaume😀
 
Sura al waqia..
35. Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
36. Na tutawafanya vijana
37. Wanapendana na waume zao, hirimu moja

Kuna aya sikumbuki sura gani nayo inazungumzia wanawake, kuwa watakuwa mahurain.

Hivyo kwa mujibu wa aya hiyo hapo, na ile nyingine nimesahau sura gani, wanawake watakaoingia peponi watakuwa ndio mahurain, watafanywa vijana, watakuwa mahurain(warembo kupita kiasi) jambo ambalo hapa duniani linawapeleka puta, kuusaka urembo.
Sisi wanaume tutapewa nguvu na wanawake wengi wazuri, jamvo ambalo linatupeleka puta.
Nao watapewa urembo jambo ambalo linawapeleka puta


Nikiipata na ile nyingine nitaongezea nyama.
Asante kwa authority hii. Imenipa majibu.
 
Sura al waqia..
35. Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
36. Na tutawafanya vijana
37. Wanapendana na waume zao, hirimu moja

Kuna aya sikumbuki sura gani nayo inazungumzia wanawake, kuwa watakuwa mahurain.

Hivyo kwa mujibu wa aya hiyo hapo, na ile nyingine nimesahau sura gani, wanawake watakaoingia peponi watakuwa ndio mahurain, watafanywa vijana, watakuwa mahurain(warembo kupita kiasi) jambo ambalo hapa duniani linawapeleka puta, kuusaka urembo.
Sisi wanaume tutapewa nguvu na wanawake wengi wazuri, jamvo ambalo linatupeleka puta.
Nao watapewa urembo jambo ambalo linawapeleka puta


Nikiipata na ile nyingine nitaongezea nyama.
Kwahyo kulingana na Imani yako uko peponi ndio mtaenda kustarehe ngono na wanawake 72?kingine kipi mlichoahidiwa
 
Kwahyo kulingana na Imani yako uko peponi ndio mtaenda kustarehe ngono na wanawake 72?kingine kipi mlichoahidiwa
Just imagine mke mmoja na mchepuko mmoja wanavyokupeleka puta. Sasa 72 wote wako bado michepuko.
 
.
Just imagine mke mmoja na mchepuko mmoja wanavyokupeleka puta. Sasa 72 wote wako bado michepuko.
Peponi hakuna misamiati 'kupelekwa puta' tatizo muna imagine akili zenu za Duniani na kukaribu kuFeetisha na huko.
 
Kwahyo kulingana na Imani yako uko peponi ndio mtaenda kustarehe ngono na wanawake 72?kingine kipi mlichoahidiwa
Tatizo unauliza kwa kebehi, ngumu kukujibu, siwezi kujadili nawe, dini ni kitu sensitive mnoo, kwa kutumia mihemko ngumu kujadili.
 
Mbona sioni wanawake wakichangia hii mada? Au washaanza wivu. Wanaona hivi tu mume akiwa na mchepuko mmoja hawapati amani. Je sasa huko ? Atakua anashea na wenzie 71. Halafu wanaume watakua wanachagua wenye makalio makubwa, flat screen zitakuwepo hazina wateja.
 
Tatizo unauliza kwa kebehi, ngumu kukujibu, siwezi kujadili nawe, dini ni kitu sensitive mnoo, kwa kutumia mihemko ngumu kujadili.
Umetafsiri vibaya tu ,mtoa mada alishatoa angalizo hapa hakuna kebehi wala nn tunaheshimu imani za wengine
 
Sura al waqia..
35. Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
36. Na tutawafanya vijana
37. Wanapendana na waume zao, hirimu moja

Kuna aya sikumbuki sura gani nayo inazungumzia wanawake, kuwa watakuwa mahurain.

Hivyo kwa mujibu wa aya hiyo hapo, na ile nyingine nimesahau sura gani, wanawake watakaoingia peponi watakuwa ndio mahurain, watafanywa vijana, watakuwa mahurain(warembo kupita kiasi) jambo ambalo hapa duniani linawapeleka puta, kuusaka urembo.
Sisi wanaume tutapewa nguvu na wanawake wengi wazuri, jamvo ambalo linatupeleka puta.
Nao watapewa urembo jambo ambalo linawapeleka puta


Nikiipata na ile nyingine nitaongezea nyama.
Ndo maana watu wanajilipua kumbe sikujua wanawai mambo mazuri ivi bikra72 sio mchezo kama mungu atakuwa yupo serious isije ikawa mambo kama ya duniani niiteni nami nitawaitikia afu atuoni kitu
 
Nadhani malipo ya kufunga ramadhani yako wazi, mfano kusamehewa dhambi. Na pia kila kumi lina malipo / faida zake zilizo wazi.

Usiri wa pepo umeandikwa kwenye quran/kuhadithiwa au tunaita ni usiri sababu haijaelezwa?
Vipi kuhusu mabikira 72 wapo?
 
Back
Top Bottom