Je, wanyama wana hisia na silika?

Halafu kwenye tawala zao hawaongozwi na wajinga
Hakika Mkuu, kwa mfano Kiongozi wa Ng'ombe ili awe Kiongozi ni lazima Madume mawili yapigane kweli kweli, mpaka kuchubuana ngozi, kutoana damu, kuvunjana pembe hata kutiana ngeu ili kuupata utawala.

Nilikuwa nashuhudia hili wakati nachunga ng'ombe huko Ikungulyabashashi. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ndiyo,ndo maana wanaweza kuendana na mazingira yao,sisi binadamu tunajiona tu bora kwa kujilinganisha na wanyama kumbe huenda nao wanatuchukulia poa tu ila wapo viwango vingine.
Tunawaita hayawani lakini Nadhani sisi ndio hayawani no 1
 
Hata SIMBA, fisi chui kiboko, tembo nk
 
Picha zoote sijaona raia mweusi hata mmoja
Hatunaga mazoea na wanyama kabisa
 
Picha hii ilipigwa na mpiga picha wa Kituruki wakati mbuzi alipojifungua mtoto wake kwenye mlima ulioganda barafu. Ili kuokoa uhai wa mbuzi na mtoto, msichana wa kijiji (mchungaji) alimbeba mama begani na mbwa akamwokoa mbuzi aliyezaliwa kwa kumpanda. Picha hii ni mfano hai wa ubinadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…