Sasa wewe ulitaka ukae na pesa ya watu MIAKA YOTE 7 halafu urejeshe kiasi gani ????Sitataja jina la benki kwa heshima.
Disemba hii nilienda kutaka mkopo nifanye jambo langu ila nilirudi kichwa chini.
Mkopo = 10.5millions
Makato = 219,400/=
Muda = Miezi 84/miaka 7.
Hali inatisha, mnyonge atanyonywa hadi ngozi.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki BOT.
mkuu kakope saccos achana na mabenk manyonya damu haoSitataja jina la benki kwa heshima.
Disemba hii nilienda kutaka mkopo nifanye jambo langu ila nilirudi kichwa chini.
Mkopo = 10.5millions
Makato = 219,400/=
Muda = Miezi 84/miaka 7.
Hali inatisha, mnyonge atanyonywa hadi ngozi.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki BOT.
unataka kaa na hela ya watu miaka saba yako hiyo...panda miti ya mbao baada ya miaka saba angalia thaman yake inavyokua,,watanzania tumezoea lalamika sanaSitataja jina la benki kwa heshima.
Disemba hii nilienda kutaka mkopo nifanye jambo langu ila nilirudi kichwa chini.
Mkopo = 10.5millions
Makato = 219,400/=
Muda = Miezi 84/miaka 7.
Hali inatisha, mnyonge atanyonywa hadi ngozi.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki BOT.
Nishawajua hao wanatumia rangi ya kijani...Sitataja jina la benki kwa heshima.
Disemba hii nilienda kutaka mkopo nifanye jambo langu ila nilirudi kichwa chini.
Mkopo = 10.5millions
Makato = 219,400/=
Muda = Miezi 84/miaka 7.
Hali inatisha, mnyonge atanyonywa hadi ngozi.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki BOT.
Siyo kila SACCOS ina Riba ndogo kuliko mabenki.mkuu kakope saccos achana na mabenk manyonya damu hao
Makato ya kila mwezi kwa miezi 84Hujaeleweka 291,400 makato per month kama riba au ni kitu gani, hebu weka vzuri maelezo yako mkuu
Duh! Kwahiyo maagizo ya BOT hayafuatwiRIBA YAKE NI 8ML ALMOST KWA MUDAWOTE HUO ITS VERY NORMAL mara nyingi riba huwa ni 21% p/a sasa compounded accumulated inafika kabisa
Saccos gani iko vizuri hapa mjini nijiunge?mkuu kakope saccos achana na mabenk manyonya damu hao
unataka kaa na hela ya watu miaka saba yako hiyo...panda miti ya mbao baada ya miaka saba angalia thaman yake inavyokua,,watanzania tumezoea lalamika sana
Saccos huko ndiko atavaa chupi kichwani akijichanganya akachukuwa!mkuu kakope saccos achana na mabenk manyonya damu hao
Hiyo riba ni 21% au 80% ?RIBA YAKE NI 8ML ALMOST KWA MUDAWOTE HUO ITS VERY NORMAL mara nyingi riba huwa ni 21% p/a sasa compounded accumulated inafika kabisa
mtoto wa kiume acha kulalamika sana utakuja olewaMiti hii inayoungua kila leo?
BOT walielekeza 12%Sasa wewe ulitaka ukae na pesa ya watu MIAKA YOTE 7 halafu urejeshe kiasi gani ????
Chukua mkopo wa muda mfupi.
Wao BoT wanakopesha mabank kwa Riba kiasi gani ????BOT walielekeza 12%
Utumwa hauepukiki kwa ulimwengu wa sasa hata nikifungua duka bado nitakuwa mtumwa wa biashara"Biblia inasema yule anayekopa atakuwa mtumwa wa anayemkopesha". Siku hizi watu wanazifanyia kazi benki. Kifupi wamekuwa watumwa wa benki.