Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Mtumwa wa biashara kivipi?Utumwa hauepukiki kwa ulimwengu wa sasa hata nikifungua duka bado nitakuwa mtumwa wa biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumwa wa biashara kivipi?Utumwa hauepukiki kwa ulimwengu wa sasa hata nikifungua duka bado nitakuwa mtumwa wa biashara
Unaifanyia kazi biashara au utalala tu duka lijiendeshe lenyewe?Mtumwa wa biashara kivipi?
Sasa hapo ndiyo utumwa?Unaifanyia kazi biashara au utalala tu duka lijiendeshe lenyewe?
saccos ya bandari au hazinaSaccos gani iko vizuri hapa mjini nijiunge?
hao wamekosa ubunifu sasa saccos ikikopa bank mambo si yanakua yale yaleSiyo kila SACCOS ina Riba ndogo kuliko mabenki.
SACCOS nyingine zinakopa Bank.
kwa pesa unayokopa riba ya kwa mwaka ni 2.2ML kwa mwakaHiyo riba ni 21% au 80% ?
Ndomaana wengine wanafanya fitina wawe wakuu wa idara angalau unafuu unakuepoSitataja jina la benki kwa heshima.
Disemba hii nilienda kutaka mkopo nifanye jambo langu ila nilirudi kichwa chini.
Mkopo = 10.5millions
Makato = 219,400/=
Muda = Miezi 84/miaka 7.
Hali inatisha, mnyonge atanyonywa hadi ngozi.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki BoT.