Je, wanyonge tutatoka kwa riba hizi za mabenki?

Ndomaana wengine wanafanya fitina wawe wakuu wa idara angalau unafuu unakuepo
 
Kama lengo la kukopa ni kulipa ada,deni au kununua fenicha umeumia. Lakini kama unawekeza haina shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…