TATIZO SIO WAPINZANI
TANZANIA TUNAHITAJI BUNGE BORA ILI TUWE NA GOOD GOVERNMENT BILA BUNGE ZURI HAMNA CHOCHOTE TUTAKACHOACHIEVE HATA WAPINZANI WASHINDE.
PILI TATIZO LA TANZANIA SIO CHAMA ILA NI MITAZAMO YETU, TUNAPENDA SHORT CART NA HATUANGALII MBALI, SULUHISHO LA HILI SWALA NI KUWA NA VIJANA WENGINE MACHACHARI 15 TU BUNGENI AMBAO WAKO TAYARI KUIONA NCHI INAKWENDA MBELE
MWISHO NYERERE ALIACHIEVE UHURU NA SISI TUTAWWAAMBIA WAJUKUU WETU TUMEIFANYIA NINI TANZANIA?
Leokweli,
Umeweka masuala mazuri ambayo yanaweza kupanua mjadala. Lakini kama ungeyatumia mawazo yako katika kuchakatua chama gani kitatufaa kwa kutilia maanani hayo uliyoshauri ingekuwa vema sana.
______________________
Are you in the process of building trust after you and your collegue Chinga aka Mtalii aka Mzee Kifimbo aka Mswahili lost it big time? Lakini kumbuka, hata ujipendekeze vipi- maandishi yako ya awali ya kuchochea ukabila na ubaguzi pamoja na kuchonganisha upinzani yamo humu. Tutakuwa tunakukumbusha tu nukuu zako. Kwenye msafara wa mamba na kenge wapo wallah!
Asha
TATIZO SIO WAPINZANI
TANZANIA TUNAHITAJI BUNGE BORA ILI TUWE NA GOOD GOVERNMENT BILA BUNGE ZURI HAMNA CHOCHOTE TUTAKACHOACHIEVE HATA WAPINZANI WASHINDE.
Karibu sana Ndibalema,
Haya hebu tuwekee huo "ukibaraka" wa Dr. Slaa "hazarani" na tuhuma zako dhidi ya Prof. Mwandosya la sivyo tutakuwa na kila haki ya kukuita "Mpika Majungu".
Bunge bora haliwezi kupatikana kama watanzania hawajui kiwango cha ubora kinachohitajika. Elimu ya umuhimu wa kupiga kura na kumpigia kura nani na kwa nini bado inahitajika.
Kikachokosekana sasa ni uchungu wa umaskini ambao sisiemu wao wamejikita kwa umaskini wa mtu mmoja mmoja (chukua chako mapema) ndio maana ufisadi umejikita hadi kwa mtendaji kata na balozi wa nyumba kumi.
Vyama vya upinzani vijitahidi vipate wabunge wengi ili waweze kuleta changamoto zaidi kwenye bunge e.g kubadilisha katiba, kuiwajibisha serikali na mambo kama hayo ambayo yanakosekana na kurudisha nyuma maendeleo.
Inashangaza sana kuona wananchi wana hali duni lkn bado hawajaamka toka usingizini kuhoji kwa nini waishi katika maisha hayo na ni nani anayesababisha waishi kwenye dimbwi la umaskini. kisa labda hakuna aliyewaamsha.
Maendeleo ya nchi hii hayategemei ni chama, bali ni nafsi safi y/za k/viongozi watakao kuwa madarakani. Hao wapinzani nao hatuna uhakika nao, inaweza ikawa yale yale wakipata madaraka wanatugeuka. Wapi Mzindakaya na G55?
Nadhani somo civics, GS na DS hayapewi umuhimu au mtaala wake haujitoshelezi ndio maana hatupati viongozi accountable.
Mdogo wangu Ndebalema,
Pole sana kwa yote yanayosononesha nafsi yako, ila kwa sasa naomba tuendelee kuweka matumaini yetu kwa JK, usisahau kuwa Kikwete bado analipenda Taifa letu, ni vijimambo tu vinavyotukela, kwelikweli,pia usisahau hawa jamaa walimsaidia kumueka hapo alipo,jk bado ni mzalendo na anaipenda Tanzania, asingekuwa yeye leo hii waandishi wasingekuwa na uhuru kama waliokuwa nao leo.
Tumpe muda mwingine.
Mdogo wangu Ndebalema,
Pole sana kwa yote yanayosononesha nafsi yako, ila kwa sasa naomba tuendelee kuweka matumaini yetu kwa JK, usisahau kuwa Kikwete bado analipenda Taifa letu, ni vijimambo tu vinavyotukela, kwelikweli,pia usisahau hawa jamaa walimsaidia kumueka hapo alipo,jk bado ni mzalendo na anaipenda Tanzania, asingekuwa yeye leo hii waandishi wasingekuwa na uhuru kama waliokuwa nao leo.
Tumpe muda mwingine.
Ndibalema
You have come up with a dead strategy.Kwani mkiwa mnatumwa kuja ku gauge upeopo huwa hawawapi na strategies makini ?Maana unaishia kuumbuka .Umesha test upepo nadhani umesha jua kwamba watu wako makini .Kawaambie kama hawajasoma kwamba hapa pagumu mjaribu Majira na Rai .
uuh now your getting the lesson ahh? remember 'the mwanakijiji saga'Ungejadili ishu na kuacha kumsahmbulia mtoa hoja, nafikiri ingesaidia zadi.
_________________________
uuh now your getting the lesson ahh? remember 'the mwanakijiji saga'