Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Je wapo Mitume na Manabii walioswali kwenye nyumba ya Ibada ya Ka’abaa zaidi ya Ibrahimu na Mohamed?
Wadau hamjamboni nyote?
Moderator naomba Uzi huu kwingineko
Kwa mujibu wa maandiko ni Manabii au Mitume wangapi waliowahi kuitumia Ka’abaa au kwa (Bait – ul- Haram) kwa ajili ya Kufanya Ibada - kuswali ukimuondoa Nabii Ibrahimu, Ishmael pamoja na Mtume Mohamed?
Nafahamu nyumba takatifu iliyopo Maka ilijengwa na Nabii Ibrahimuni nguzo muhimu kwa Waislamu duniani kote
Nachopenda kujua ni majina ya Mitume na Manabii walioitumia Kwa ajili ya kumfabyia Mungu wetu ibada
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Karibuni tujadili
Wadau hamjamboni nyote?
Moderator naomba Uzi huu kwingineko
Kwa mujibu wa maandiko ni Manabii au Mitume wangapi waliowahi kuitumia Ka’abaa au kwa (Bait – ul- Haram) kwa ajili ya Kufanya Ibada - kuswali ukimuondoa Nabii Ibrahimu, Ishmael pamoja na Mtume Mohamed?
Nafahamu nyumba takatifu iliyopo Maka ilijengwa na Nabii Ibrahimuni nguzo muhimu kwa Waislamu duniani kote
Nachopenda kujua ni majina ya Mitume na Manabii walioitumia Kwa ajili ya kumfabyia Mungu wetu ibada
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Karibuni tujadili