Je Wasafi wamedhamiria kumfunika Aslay?

Je Wasafi wamedhamiria kumfunika Aslay?

Aslay bado sana kushindana na wasafi..

ukitaka kuthibitisha hilo angalia producer aliyetengeneza wimbo wa harmonise ni studio gani na ipo nchi gani na anachaji bei gani..

na angalia video pia amefanya nani na anachaji bei gani..

gharama tu iliyotumika kutengeneza nyimbo za harmonise ni sawa sawa na album nzima ya aslay

wimbo wa harmonise kwa ajili ya soko la africa nzima.. huku wimbo wa aslay kwa ajili ya soko la tanzania tu
 
Kwan wewe mkuu inakuzuia nini kusikiliza zote?
Hebu tuwe serious jaman, U. S kuna wasanii zaidi ya milion 1 na wote wanahit tu
 
Kwan wewe mkuu inakuzuia nini kusikiliza zote?
Hebu tuwe serious jaman, U. S kuna wasanii zaidi ya milion 1 na wote wanahit tu
wasanii milion alaf wote wanahit? Ebu kuwa sirias mkuu...wasanii milion sio hapa! hapa ukiambiwa uwataje hata 500 sidhan kama utaweza fikisha!
 
Ukimuangalia aslay dizain flani kama anaimba muziki wa bendi au taarabu Fulani hivi


Nyimbo zake zote zinafanana mpaka unashindwa kutofautisha

Nafikir apate management nzur walau sasa abadilibadili maudhui na achangamke kidogo,msanii huna hata swaga kutwa kimyaaa hata huact kisanii banaaa.
Lazima uishi midomoni mwa watu na ndo kula yake na utajiri wa usanii hapo.

ASLAY BADILIKA BANAAA
 
Kumbe aslay katoa nyimbo. Ndio naona hapa
 
Back
Top Bottom