Je, wasanii wetu hawawezi kubuni kitu kingine nje ya marashi?

Je, wasanii wetu hawawezi kubuni kitu kingine nje ya marashi?

Usikariri mkuu. Biashara za wasanii wengi au watu maarufu bongo ni saluni, car wash, maduka ya nguo, pub, migahawa ya vyakula na studio za kurekodi. Haya marashi yameanza juzi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni jambo nalojiuliza, je wasanii wetu hawana au hawawezi kubuni kitu kingine zaidi ya marashi?

Jana Haji Manara amezindua pafyum yake, kuna pafyum ya Diamond, kuna bodyspray ya mwana FA.

Kwa nini wasanii wetu wamekosa ubunifu mwingine?

Alikiba yeye amekuja na uwakala wa kinywaji ila bei ghali sana, yeye anasema hashushi bei na wanaompenda watanunua, yeye akili yake inadhani biashara imejikita kwenye upendo, kwamba msingi mkuu wa biashara ni kupendwa kwake( hili nitalizungumzia siku nyingine).

Mada inaendelea.

hule msemo wa "msafara wa mamba na kenge wapo" bado uja ukumbuka
wabongo wengi sio wathubutu kwenye jambo jipya wao wanataka wafanye kwenye jambo ambalo mtu kajaribu likafanikiwa na usipo fanikiwa wanaanza kuongea maneno ya ajabu.
mfano kuna jamaa mmoja macjuice pale sinza alipofungua na kujitangaza tu.kila mtu anafungua utazani vibanda vya mpesa.sio mbaya bali umekuja na mabadiliko gani katika soko na jambo gani likawa tofauti
 
hule msemo wa "msafara wa mamba na kenge wapo" bado uja ukumbuka
wabongo wengi sio wathubutu kwenye jambo jipya wao wanataka wafanye kwenye jambo ambalo mtu kajaribu likafanikiwa na usipo fanikiwa wanaanza kuongea maneno ya ajabu.
mfano kuna jamaa mmoja macjuice pale sinza alipofungua na kujitangaza tu.kila mtu anafungua utazani vibanda vya mpesa.sio mbaya bali umekuja na mabadiliko gani katika soko na jambo gani likawa tofauti
Makjuice hakuanza yeye TZ ila kwamba maarufu tu, juice point zilikuwepo kibao mkuu. then duniani hakuna kitu kipya tunaiga kutoka nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta Uzi wewe umeleta bidhaa gani?


1; Vanessa mdee - Viatu
2; diamond- perfume, media,Karanga
3; Alikiba- mofire
4;mwana Fa-body spray
5;Ay- usafirishaji
6; jux- mavazi
7;majizo-media
AY anasafirisha nini?
 
Kwahiyo Shishi food unataka kuishindanisha na WCB level, wasafi TV. Kweli ujui nini entrepreneur mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa hao sijui wasafi wamekuja na nin kipya cha kuwatofautisha na akina clouds media?
angalia idea ya shishi food imetarget watu wa namna gani na amewezaje kujitofautisha na competitors wake aliowakuta kwenye hiyo industry.biashara ni ubunifu na sio kucopy na kupaste...
 
kwa kelele zile za manara na kushinda kwenye media nilijua anakuza brand yake na sio unazi wa timu sasa ukweli umeonekana...muda si mrefu atatupiwa virago simba
 
mbona hujamtaja Shilole? au unamchukulia poa na biashara yake ya shishi food na shishi pilipili? sa hiv huyo dada mtaji wake umeshafika 40M soon atatikisa 100M,namkubali sana huyo dada hana aibu anaweza sna kuthubutu...hope kuna siku atakuja kua kama Oprah Winfrey
Mkuu huo mtaji alifikisha 40m umeona wapi au unafanyakazi bank
 
Hapo kwenye kuchanganya biashara na upendo uko sahihi, havina mahusiano....
Hili ni jambo nalojiuliza, je wasanii wetu hawana au hawawezi kubuni kitu kingine zaidi ya marashi?

Jana Haji Manara amezindua pafyum yake, kuna pafyum ya Diamond, kuna bodyspray ya mwana FA.

Kwa nini wasanii wetu wamekosa ubunifu mwingine?

Alikiba yeye amekuja na uwakala wa kinywaji ila bei ghali sana, yeye anasema hashushi bei na wanaompenda watanunua, yeye akili yake inadhani biashara imejikita kwenye upendo, kwamba msingi mkuu wa biashara ni kupendwa kwake( hili nitalizungumzia siku nyingine).

Mada inaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hao sijui wasafi wamekuja na nin kipya cha kuwatofautisha na akina clouds media?
angalia idea ya shishi food imetarget watu wa namna gani na amewezaje kujitofautisha na competitors wake aliowakuta kwenye hiyo industry.biashara ni ubunifu na sio kucopy na kupaste...
Mzee nimemjibu uyo aliyesema mjasi wa kweli shishi sikweli Diamond no zaidi ya mjasi na ujasiliamari all about profit nakufika mbali kesho yako tunaangalia project yako IPO solid kiasi gani inawatu wangapi kwenye circle nakuwafikia wangapi unaamini hapa naandika post hii huku nasikipiza product ya WCB sasa kuzungunza shishi food disaini kama huoni WCB LEBEL ni utoto, Luna mmja hapo juu eti anasema Shishi food inakimbizia 50 million now nakwenda juu sasa kwa takwimu hizo kweli ni utoto kuweka juu Shishi food WCB solid platform.

Pili unazungumzia WCB inafanana na clouds kwenye nini yofautisha WCB na Wasafi TV nivitu viwili tofauti mkuu then hata ukizungumzia Wasafi TV haiwezi kuwa sawa Wasafi TV inafanya vizuri online na imewekeza sana huwo upande.

Ukisema kufanana Shishi anautofauti gani na migahawa mingine ongea fact sio unaandika tu faza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom