21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,280
- 2,814
bei elekezi ni 3000 kwa dar, mikoani itakua juu ya hapo kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bei elekezi ni 3000 kwa dar, mikoani itakua juu ya hapo kidogo
Hili ni jambo nalojiuliza, je wasanii wetu hawana au hawawezi kubuni kitu kingine zaidi ya marashi?
Jana Haji Manara amezindua pafyum yake, kuna pafyum ya Diamond, kuna bodyspray ya mwana FA.
Kwa nini wasanii wetu wamekosa ubunifu mwingine?
Alikiba yeye amekuja na uwakala wa kinywaji ila bei ghali sana, yeye anasema hashushi bei na wanaompenda watanunua, yeye akili yake inadhani biashara imejikita kwenye upendo, kwamba msingi mkuu wa biashara ni kupendwa kwake( hili nitalizungumzia siku nyingine).
Mada inaendelea.
Makjuice hakuanza yeye TZ ila kwamba maarufu tu, juice point zilikuwepo kibao mkuu. then duniani hakuna kitu kipya tunaiga kutoka nje.hule msemo wa "msafara wa mamba na kenge wapo" bado uja ukumbuka
wabongo wengi sio wathubutu kwenye jambo jipya wao wanataka wafanye kwenye jambo ambalo mtu kajaribu likafanikiwa na usipo fanikiwa wanaanza kuongea maneno ya ajabu.
mfano kuna jamaa mmoja macjuice pale sinza alipofungua na kujitangaza tu.kila mtu anafungua utazani vibanda vya mpesa.sio mbaya bali umekuja na mabadiliko gani katika soko na jambo gani likawa tofauti
AY anasafirisha nini?Mleta Uzi wewe umeleta bidhaa gani?
1; Vanessa mdee - Viatu
2; diamond- perfume, media,Karanga
3; Alikiba- mofire
4;mwana Fa-body spray
5;Ay- usafirishaji
6; jux- mavazi
7;majizo-media
sasa hao sijui wasafi wamekuja na nin kipya cha kuwatofautisha na akina clouds media?Kwahiyo Shishi food unataka kuishindanisha na WCB level, wasafi TV. Kweli ujui nini entrepreneur mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huo mtaji alifikisha 40m umeona wapi au unafanyakazi bankmbona hujamtaja Shilole? au unamchukulia poa na biashara yake ya shishi food na shishi pilipili? sa hiv huyo dada mtaji wake umeshafika 40M soon atatikisa 100M,namkubali sana huyo dada hana aibu anaweza sna kuthubutu...hope kuna siku atakuja kua kama Oprah Winfrey
Kwa mujibu wa maelezo yake,na Shishi si mpenda kiki hanaga tabia za uongo uongo.Mkuu huo mtaji alifikisha 40m umeona wapi au unafanyakazi bank
Hili ni jambo nalojiuliza, je wasanii wetu hawana au hawawezi kubuni kitu kingine zaidi ya marashi?
Jana Haji Manara amezindua pafyum yake, kuna pafyum ya Diamond, kuna bodyspray ya mwana FA.
Kwa nini wasanii wetu wamekosa ubunifu mwingine?
Alikiba yeye amekuja na uwakala wa kinywaji ila bei ghali sana, yeye anasema hashushi bei na wanaompenda watanunua, yeye akili yake inadhani biashara imejikita kwenye upendo, kwamba msingi mkuu wa biashara ni kupendwa kwake( hili nitalizungumzia siku nyingine).
Mada inaendelea.
Mzee nimemjibu uyo aliyesema mjasi wa kweli shishi sikweli Diamond no zaidi ya mjasi na ujasiliamari all about profit nakufika mbali kesho yako tunaangalia project yako IPO solid kiasi gani inawatu wangapi kwenye circle nakuwafikia wangapi unaamini hapa naandika post hii huku nasikipiza product ya WCB sasa kuzungunza shishi food disaini kama huoni WCB LEBEL ni utoto, Luna mmja hapo juu eti anasema Shishi food inakimbizia 50 million now nakwenda juu sasa kwa takwimu hizo kweli ni utoto kuweka juu Shishi food WCB solid platform.sasa hao sijui wasafi wamekuja na nin kipya cha kuwatofautisha na akina clouds media?
angalia idea ya shishi food imetarget watu wa namna gani na amewezaje kujitofautisha na competitors wake aliowakuta kwenye hiyo industry.biashara ni ubunifu na sio kucopy na kupaste...
kama hivyo ni sawa tumpongezeKwa mujibu wa maelezo yake,na Shishi si mpenda kiki hanaga tabia za uongo uongo.