Wakuu,
Je wasanii wetu wa sanaa wanajua maana ya hakimiliki yaani copyright? Tunaposema hakimiliki au copyright inamaanisha haki aliyomilikishwa kisheria mtunzi au mwandishi wa kazi fulani kama kitabu, jarida, sauti, video au sauti yenye video.
Sasa Kwa sheria ya Tanzania, haki hizi zinatolewa kwa kipindi chote cha maisha ya mmiliki na nyongeza ya miaka hamsini baada ya kifo cha mmiliki. Hii ni kwa mujibu wa Copyright and Neighbouring Act 1999 section 14 & 15.
Asanteni
Je wasanii wetu wa sanaa wanajua maana ya hakimiliki yaani copyright? Tunaposema hakimiliki au copyright inamaanisha haki aliyomilikishwa kisheria mtunzi au mwandishi wa kazi fulani kama kitabu, jarida, sauti, video au sauti yenye video.
Sasa Kwa sheria ya Tanzania, haki hizi zinatolewa kwa kipindi chote cha maisha ya mmiliki na nyongeza ya miaka hamsini baada ya kifo cha mmiliki. Hii ni kwa mujibu wa Copyright and Neighbouring Act 1999 section 14 & 15.
Asanteni