Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Sio utamaduni ni sababu, hakuna sehemu za kulaKule Zanzibar, baadhi ya wakristo wazawa wamezoea kufunga Ramadhani kama sehemu ya utamaduni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio utamaduni ni sababu, hakuna sehemu za kulaKule Zanzibar, baadhi ya wakristo wazawa wamezoea kufunga Ramadhani kama sehemu ya utamaduni.
Mimi naishi huku zenji sisimuliwi.Zanzibar hawana utaratibu wa kupangisha vyumba kama huku.
Wanafunga from childhood age, na wanahesabu siku walizofunga, watoto wakitaja wamefunga ngapi na wao wanataja idadi ya siku walizofunga. Mm nazungumzia experience nilioishuhudia.
Uungwana ni vitendo..je ninyi nayi huwaunga mkono wakristo kipindi cha kwarezima?Unaweza kufunga boss kwani kuwaunga mkono ndugu zako waislam na kufuata tamaduni zao ni uungwana usiomithirika
Kama alivyotuamrisha mwenyez Mungu wa haki katika Qur'an sura ya 2 aya ya 183View attachment 2163739
Kwanini mkuu?Mwezi wa ramadhani huwa unajaa unafiki mwingi sana sijui kwanini
Mimi nataka nihamie uislam kabisaa
Huu ni wakati wa Kwaresma wakristo wanafunga na kuomba ..Kwanini mkuu?
waislamu huwa hawafungi ila wanabadili ratiba ya kula ndio maana muda wakufuturu,utakuta cha asubuhi,mchana na jioni vinaliwa wakati mmoja
Ahsante sana mkuu kwa andiko takatifu!Unaweza kufunga boss kwani kuwaunga mkono ndugu zako waislam na kufuata tamaduni zao ni uungwana usiomithirika
Kama alivyotuamrisha mwenyez Mungu wa haki katika Qur'an sura ya 2 aya ya 183View attachment 2163739
Mfungapo msiwe kama Wanafiki wenye nyuso za kukunjamana.....Huu ni wakati wa Kwaresma wakristo wanafunga na kuomba ..
Je, Umeona makelele kuhusu kulazimishana kulia ndani /gizani?
Umeona bar zinafungwa?
Umeona migahawa inafungwa au kutoa huduma ya chakula kwa siri?
Umeona watu wakigombea futari?
Unasikia promo na matangazo ya hovyo kwenye redio/tv hasa clouds?
Watu wanajisifia kufunga?
Subiri muda ufike utajua namaanisha nini
Jibu ni hili hapa!Nadhani swali lilipaswa kua je tusio wasilamu tunaruhusiwa kubadili ratiba ya kula mwezi wa ramadhani?
MuongoWanaweza funga bila shaka muhimu watie nia na hiyo funga take.
Katiba ya dini.Kila Dini ina Katiba yake,Hakuna nchi inatumia katiba ya mwenzake Ikafanikiwa.. Labda km unafunga kwa Kiki tu uonekane.
Ndio.Katiba ya dini.
[emoji1][emoji1][emoji1]Nadhani swali lilipaswa kua je tusio wasilamu tunaruhusiwa kubadili ratiba ya kula mwezi wa ramadhani?
Ndio sbb naona huelewi unachotaka bado?Badala ya kujibu wewe unaniuliza maswali!!
Karibu miye nakukaribisha futuru rafikiMimi nataka nihamie uislam kabisaa