Mi maangu Mdogo aliolewa na mpare mbona cha moto alikipata, full ubahili, unyanyasaji, uchoyo, ushirikina na kujaza ndugu zake ndani.....hadi watu walikuwa wanamwambia we umebugi sana wapare ni nyoko wanajioaga na kuoana wenyewe maana matabia yao ya kingese yanajulikana na kila mtu hapa mjiniUlivyosema tu mkewe ni mpare nimekubali hii story ni ya kweli kabisa.
Kila ndugu akae kwakeWageni hasa ndugu wanavuruga sana Ndoa!
Chunguza utaona.
kilomita kama 30 hivi na zaidi alafu ukifikia mitaa ya mji mwema kwenda mbele kule kumetulia sana kama unaenda maporini mchana tu mtihani je usiku inakuwaje jamaa walimtesa sanaWalimfanyia ukatili [emoji23]
Ferry- dege kuna kipande kirefu tu
Panatisha sana, ana bahati boda alikubali kumpeleka kule night.kilomita kama 30 hivi na zaidi alafu ukifikia mitaa ya mji mwema kwenda mbele kule kumetulia sana kama unaenda maporini mchana tu mtihani je usiku inakuwaje jamaa walimtesa sana
Nanyi mkija kijijini msitusumbue, maana nasi tunakuwa bize kwenda Mashambani.Watu wa mjini hawana muda, elewa hilo......na kila kitu ni pesa, hivyo wanaishi kwa bajeti, sasa wewe ukitoka kijijini kwenu na yeboyebo ukifikiri kuna mtu wa mjini ataku entertain itakula kwako, ndo maana mnaishia kukodolea TV masaa 24.......
Tatizo watu wa vijijini mnakuwa na shobo kibao, kuwapigia simu kila mara watu wa mjini wakawatembelee ili na nyie muuze sura kwamba mna ndugu yenu anayekaa town, vinginevyo hakuna mtu yoyote wa town mwenye shobo na village.Nanyi mkija kijijini msitusumbue, maana nasi tunakuwa bize kwenda Mashambani.
Sana.. Mimi hili nilishaweka msimamo kabisa!Kila ndugu akae kwake
Kuna sehemu nimepita nimekutana na ujumbe huuila watu wa mijini na kwenye majiji kuna haja ya kujitafakari.
Mwana DSM ukienda mikoani huko au vijijini ukifika ni kawaida sana kukuta ndugu zako walikuwa wanakusubiri stendi zaidi ya saa ufike, umefika utachinjiwa kuku siku ya kwanza, utaishi hata mwezi na hakuna mtu atakupa maswali ya unaondoka lini, misosi utakula utasaza, ukiondoka utapewa hata debe la unga au maharage na hapo ukunbuke wewe ulipeleka tu mkate, unavyoondoka unasindikizwa kabisa wengine wanakubebea begi, kiufupi watu wa huko wengi ni wakarimu.
Ishu inakuja kwa watu wa Dar sasa, yani hata ndugu kaja kumpokea tu ni mtihani, mwenyeji anatoa maelekezo mgeni ampe simu bodaboda na malipo atalipa mgeni ambae hata hio hela haikuwa kwenye bajeti, akifika msosi ulioandaliwa ni ugali tembele yani ugeni wake ni kama hauthaminiki kama sio kumkomoa, baada ya salamu mwenyeji atakua bize na simu au mke wake kitu kinachoanza kukaribisha upweke kwa mgeni, mgeni akikaa siku 2 tu anaanza kuulizwa anaondoka lini, siku ya kuondoka pekee labda ndio mgeni husindikizwa maana ndio anasepa ni kama mzigo umetoka.
Sasa nauliza hivi watu wa huko mikoani nao wakiamua kwenda kwa style hizo kama zenu, je patatosha?
Hizo dharau sasa, Kwani mjini huko kuna kipi Cha maana na Cha pekee??.Tatizo watu wa vijijini mnakuwa na shobo kibao, kuwapigia simu kila mara watu wa mjini wakawatembelee ili na nyie muuze sura kwamba mna ndugu yenu anayekaa town, vinginevyo hakuna mtu yoyote wa town mwenye shobo na village.
Unafikiri chanzo cha hayo yote ninini?
Ishu ya daslm ni muendelezo wa familia nyingi kukosa ule Utu na upendo wa dhati na hii yote inatokana na jinsi mlivyolelewa sio kweli watu wengi wa daslm wapo hivyo mimi nina jamaa zangu familia zao ni wakalimu balaa mpaka ukiwa daslm inabidi uwakwepe tuu mtu ukimwambia upo daslm kama huna gari anakuuliza akupe gari ufanyie shughuli zako ukimaliza umpe mimi siwezi kuwafata wengi ni wakalimu mno..ndugu yangu wa familia moja ukienda kwake ni story balaa kwa sababu watoto wao wakifunga shule buwa wanakuja home nami wakifunga shule nawapeleka kwao kwa siku kadhaa maisha yanaendelea msitegemee mapenzi ya ndugu yasipokuwepo mlipokua nyumbani hata akiwa Mtwara atakua na tabia za kienyeji tuu...
Dah,aisee nimecheka Sana!, maisha ya dar ni Kama chuo Cha mafunzoMimi nilifika dar.usiku saa tano kuangaza mwenyeji hayupo ubungo.kupiga sim hapatikani hee.baada ya masaa mawili ndio napigiwa na dada wa kazi umefika wapi dada kalala, chukua bodaboda ikupeleke fery uvuke kuja kigamboni saa saba na nusu hiyo usiku.nafika kigamboni sim haipatikani nikakaa hapo na walinzi baadae anapiga chukua boda tena ikulete dege.hata dege sipajui jamani huyo boda boda alikua ana pepeza pikipiki kila nikitaka kuongea midomo haiwezi sababu ya supidi, Tukawa tunatokomea tu nauliza bado anasema bado saa tisa usiku hiyo, mpaka nafika saa kumi.kufika hamna maji ya kuoga hamna chakula.nikalala nashtuka saa kumi ba mbili dada ananiambia amka tufanye usafi nikasema bado napumzika.Akasema Lazima tutoe magodoro.Nikahamia sebuleni ile usingizi unaanza naambiwa hata hapo nakuja kakae nje.Dah sitasahau nimeacha mkoani mjengo wangu wa maana kitanda nateseka wallah nilitoa chozi.Nilipata homa kali sikununua hata biashara nikarudi nyumbani baada ya siku tatu.mpaka leo nikija Dar nina ndugu lakini nafikia Hotel.Bora lawama kuliko fedheha
na huyo mkeo akikunyanyasa unakuja kuomba ushauri kwetu wakati tungekupa ushauri mapema kabla viwanja na mali hujaandika jina lake....Hata Mimi sipendi wageni.
Wanakuja kuchunguza unaishije na mkeo especially Kama mkeo sio kabila lako wapate la kumsema.
Kusingekuwa na cha maana msingekuwa mnasumbua kuja mjini na kuharibia watu mishe zao kwa ajili ya kuwapokea stendi na kuwatembeza mjini...Hizo dharau sasa, Kwani mjini huko kuna kipi Cha maana na Cha pekee??.
Nanyi mnapokuja kwetu Village si huwa tunawahangaikia??Kusingekuwa na cha maana msingekuwa mnasumbua kuja mjini na kuharibia watu mishe zao kwa ajili ya kuwapokea stendi na kuwatembeza mjini...
Sasa hutaki niandike viwanja vyangu jina la waif. Unataka niandike la Nani? Kila siku ananipa uroda Tena bila masharti ya vocha, nauli au chips.na huyo mkeo akikunyanyasa unakuja kuomba ushauri kwetu wakati tungekupa ushauri mapema kabla viwanja na mali hujaandika jina lake....
RIP Dk. Buberwa wa "Dental Formula Care", "Joy" nk
Sio wote Mimi na Mshana Jr hatuna roho mbaya Wala si wachoyoHivi kwanini wapare wana roho mbaya? nli ishi na Mpare jamaa zangu walikua wakija home wana ambulia maji ya kunywa alikua ana ficha chakula chumbani ilihali nnae nunua siumii roho watu kula
Hahahahaha mkuu umenichekesha, eti kipande cha shingo.Alikuaja Dar kwa mdogo wake toka ntoke mzee mmoja wa kipare anaitwa Mshana. Mdogo wa Mshana akachinja kuku Safi kabisa. Kule upareni Kama kuku imechinjwa wakati wa kula mnaanza na ugali tonge mbili tatu ndio yule mkubwa kuliko wote anaokota nyama , usually anaokota paja ,then anafuatia mwingine kwa ukubwa hivyo hivyo mpaka mdogo kabisa anaambulia ATC.
Sasa mzee wa kipare toka bush wakati anaanza kunawishwa yeye akajua taratibu za kipare zitazingatiwa. Ile mzee amekata tonge la kwanza akakuta watoto wa mdogo wake yaani watoto wa mjini Mwananyama ndaani ndani walishachukua nyama zote nzuri na kwenye sahani kimebaki kipande Cha shingo.