Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Huku kwetu Barakoa hatuvai, na hakuna kitu mtatufanyaMtaani kwangu kwanza hawaamini kabisa kama hii kitu ipo, achilia mbali kuchukua tahadhari, na huwaambii kitu [emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kwetu Barakoa hatuvai, na hakuna kitu mtatufanyaMtaani kwangu kwanza hawaamini kabisa kama hii kitu ipo, achilia mbali kuchukua tahadhari, na huwaambii kitu [emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1727209
Ni kawaida kwa watanzania walio wengi kuona suala la kawaida kama halijamgusa moja kwa moja. Hali hii iko hivyo kwa baadhi ya maeneo hapa nchini
Je, hali ikoje kwenye mtaa wako?
Watu wanachukua tahadhari au wanapuuzia ugonjwa?
Je, unachukua hatua yoyote kuwaelimisha zaidi?
Hivi Mkuu hayo maombi yanafanyikia wapi? 😀hakuna hata mmoja zaidi ya kutegemea maombi tu
Nakubaliana nawe Mkuu na kazi ipo hasa kwetu watu wa hali ya chini katika kubadilisha bongo zetu ambazo zilishaishi kwa kuamini hamna hii kitu na hata kama ipo basi ipo kwa ajili ya watu fulani.Upotoshaji mkubwa uliofanyika awali umewafanya wengi kuamini covid-19 haipo nchini ilishakimbia na wanaoipata ni wale walioenda nje ya nchi na kuchanjwa!
Aidha wengine wanadhani ni ugonjwa unaowapata viongozi wa juu na matajiri si makapuku na wanyonge walioko mitaani kwetu... zile ndoo na vitakasa mikono vilishakuwa historia
Bwana anatenda miujiza...... Bi mkubwa mwenyewe anajua korona hamna hapa tzHivi Mkuu hayo maombi yanafanyikia wapi? 😀
Mana kipindi kile cha mwanzo kulikuwaga na siku za maombi rasmi au sasa ndo kila mtu anafanyia kwake na nafsi yake?
Alitenda kipindi ile ambacho watu walipukutika kwa wingi tena kimya kimya Mkuu.Bwana anatenda miujiza...... Bi mkubwa mwenyewe anajua korona hamna hapa tz