Wakuu habari za mchana,
Heri ya pasaka kwa Wakristo. Kwa ndugu zangu waislamu poleni na swaumu.
Niende kwenye mada husika. Watu hunitizama kama beureucrat, usalama wa Taifa, askari wa PGO au mtu fulani mwenye wazfa mkubwa serikalini au kwenye taasisi Kubwa Kubwa.
Imefikia mpaka hatua vijana wa rika langu au juu yangu kuja kuniomba KAZI na USHAURI wa nini wafanye kwenye Maisha yao kufikia malengo, mtaani hapa pia nimekuwa nikipokea kesi za maafande kuwaonea baadhi ya raia wa hapa, au nikiulizwa unafahamiana na afande Fulani.
Mimi ni dhoofu la Hali kama raia wengine ila hii Hali imekuwa ulinipa Mawazo mda mwingi .. mda mwingine nikifikiria nabaki kucheka hihiii.
Kwasababu ukweli naujua mimi
Je, ni utabiri, ama kuna namna natakiwa nibadilike labda naweza kuwa na wadhifa mkubwa, au ni nini haswa?
Wajuvi mnisaidie kama sijaeleweka nakaribisha maswali Ili nieleweke na mimi nipate kujielewa.
NB: MFUKONI SINA HATA NDURURU
Heri ya pasaka kwa Wakristo. Kwa ndugu zangu waislamu poleni na swaumu.
Niende kwenye mada husika. Watu hunitizama kama beureucrat, usalama wa Taifa, askari wa PGO au mtu fulani mwenye wazfa mkubwa serikalini au kwenye taasisi Kubwa Kubwa.
Imefikia mpaka hatua vijana wa rika langu au juu yangu kuja kuniomba KAZI na USHAURI wa nini wafanye kwenye Maisha yao kufikia malengo, mtaani hapa pia nimekuwa nikipokea kesi za maafande kuwaonea baadhi ya raia wa hapa, au nikiulizwa unafahamiana na afande Fulani.
Mimi ni dhoofu la Hali kama raia wengine ila hii Hali imekuwa ulinipa Mawazo mda mwingi .. mda mwingine nikifikiria nabaki kucheka hihiii.
Kwasababu ukweli naujua mimi
Je, ni utabiri, ama kuna namna natakiwa nibadilike labda naweza kuwa na wadhifa mkubwa, au ni nini haswa?
Wajuvi mnisaidie kama sijaeleweka nakaribisha maswali Ili nieleweke na mimi nipate kujielewa.
NB: MFUKONI SINA HATA NDURURU