Je, wawafahamu kwa majina Mamajusi waliomsaliti Mfalme Herode na kumnusuru Yesu kuuawa na Mfalme huyo?

Mkuu, mamajusi ni watu walioabudu moto na wanaofuata dini ya kale ya Zoroastrianism ya Persia (Iran ya kale). Majasusi ni spies au watu wanaokusanya habari ya mambo ya siri (secret agents).
Kwa hiyo Sheikh Yahayya alikuwa Mamajusi!?
 
Astrologists ndio mamajusi sio astronomers
 
Kuna astrology na astronomy, hii ndio elimu watu wanapaswa kuifahamu. Hapo ndipo unaweza kutofautisha mamajusi na wataalamu wa anga maana Wana majina mengi tofauti kulingana na utaalamu wao. Wengine wanadeal na nyota, wengine sayari, wengine anga Zima kwa maana ya space.

"Astronomy is a science that studies everything outside of the earth's atmosphere, such as planets, stars, asteroids, galaxies; and the properties and relationships of those celestial bodies. ... Astrology, on the other hand, is the belief that the positioning of the stars and planets affect the way events occur on earth."

Nadhani kwa elimu zaidi ya kujua hii mada mnaweza kuanzia hapa.
 
Wewe umevurugwa kabisa, soma vizuri habari hii uelewe. Hawa Magis waliiona nyota yake upande wa Mashariki ikiwa ni ya kifalme wakaifuata. Utotoni tulijua nyota tu ya kawaida lakini in reality ni nyota zinazotufanya tustawi. Baada ya kukua na kujifunza mambo ya kiroho ndiyo tumejua nyota ipi. Maana watu wa gizani huzitumia katika ulimwengu wa roho kuumiza watu na kwa manufaa yao. Hiyo maana unaleta ni potofu ishia hapo hapo na hizo points unaleta unaislead watu kwa kujua ama kutokujua
 
Acha kupoteza maana, umetumwa au?!
Umeelewa lakini au umeamka na Kvant? Kwani ulisoma na ukatafuta maana ya nilichoandika unakosa nini au basi angalia post ya pili niliyoandika inaweza kukutoa Kvant zako. Stupid.
 
Kuna nyumba moja ya mama mkatoliki (sasa marehemu) juu mlangoni alikuwa ameandika K+M+B sikujua maana yake baadae nikamuuliza mtoto wake ndio akaniambia ni (Kaspari + Melkiori + Baltazari)

Na ni kweli katika journals za Wakristo ulimwenguni wanajua kuwa wale mamajusi ni Casper + Melchior + Balthazar

Walikuwa Wanajimu wenye elimu ya kusoma nyota n.k
 

Mkuu Hayo Majina Umeyatoa Wapi Majina Ya Mama Jusi Ni Haya Mmoja Aliitwa Meru, Horu, Lunu
 

Ukristo Unafuata Mafundisho Ya Yesu Kristo Acha Kudanganya Kama Haujui Kitu Kaa Kimya
 
Baltathary melkiory and Gaspary protect me the way you protect our lord Jesus, amen.
Write this and hold it you shall be safe in wonderfully ways, no curse shall touch you.
 
hivi hao mamajusi wapo mpaka dunia ya sasa au ilikuwa enzi hizo tu, Before christ
 
Hawakujiongeza Bali walionywa kupitia ndoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…