Je, wawafahamu kwa majina Mamajusi waliomsaliti Mfalme Herode na kumnusuru Yesu kuuawa na Mfalme huyo?

Hawakujiongeza Bali walionywa kupitia ndoto
Ok.sasa baada ya kuonywa si ndio wakajiongeza, wangapi wanaonywa na bado hawatii maonyo. Wanaendelea na mambo Yao/ maagizo ya mabosi wao ili wawafurahishe na kupata nafasi nzuri. Unadhani kwenda kinyume na mfalme ni kitu kirahisi tu
 
Baada ya kumsujudu kabla hawajaondoka roho mtakatifu akawajia kwenye maono na wakaelekezwa kuwa warudi kwa njia nyingne.

Shukran mkuu kwa story fupi na nzuri
 
Mimi zamani nilikuwa najuwa mamajusi ni Akina mama,ila nilikuwa sijui wanajishughilisha na nini akina mama hao
Hata mimi nilikuwa najua ni akina mama,sasa nashangaa kumbe walikuwa ni kina Gaspar[emoji3]
 
Mkuu Hayo Majina Umeyatoa Wapi Majina Ya Mama Jusi Ni Haya Mmoja Aliitwa Meru, Horu, Lunu
Inawezekana nimechanganya ila hao watatu niliowataja ndio waliomtembelea Yusuphu na Mariamu baada ya Mariamu kumzaa Yesu Kristo. Waliompelekea Manemane, Uvumba sijui na nini kingine

Ndio wanaitwa Magi.
 
Baada ya kumsujudu kabla hawajaondoka roho mtakatifu akawajia kwenye maono na wakaelekezwa kuwa warudi kwa njia nyingne.

Shukran mkuu kwa story fupi na nzuri
Kumbe Roho Mtakatifu alikuwepo kabla ya Kristo!?
Na huyu aliyekuja baada ya Yesu kupaa n Nani
 
Haya majina umeyapata wapi? Hayamo kwenye Bible
Acha uvivu Mkuu jisomee vitabu na nenda mitandaoni ukasome. Usishinde kwa wachungaji wanaogawa maji na mafuta hutaweza kujua mambo haya mkuu.
 
Acha uvivu Mkuu jisomee vitabu na nenda mitandaoni ukasome. Usishinde kwa wachungaji wanaogawa maji na mafuta hutaweza kujua mambo haya mkuu.
Niwekee hapa kitabu kimoja chenye hayo majina nisome meku
 
Kumbe Roho Mtakatifu alikuwepo kabla ya Kristo!?
Na huyu aliyekuja baada ya Yesu kupaa n Nani
"Hata mimba ya Yesu ilitungwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu', yaani hapo mtani ndo utajua hujui
 
Umeyasikia wapi hayo majina?
Jifunze kujisomea na kutafta taarifa Mkuu, yapo sana. Kapanga ni kuchagua ukienda kwenye Wazee wa miujiza unaweza ukamaliza mwaka hujayajua majina yao.
 
Siyo kweli mkuu.

Mamajusi kwa leo ni wanajimu.
Kuna biblia toleo moja la King James wamewaita "the magi" yaani kifupi ni wachawi.

NASA hakuna wasoma nyota.Kuna watafiti wa anga za mbali tu.
 
Hawa ndio wenyewe Sasa, Kila mmoja alifariki na zaidi ya miaka 100. Kesho ntakuja na story fupi ya Kila mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…