Je, Waziri Mkuu Majaliwa bado anatosha kumsaidia Rais Samia?

Je, Waziri Mkuu Majaliwa bado anatosha kumsaidia Rais Samia?

MTOCHORO

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
5,107
Reaction score
6,535
Tumeona hivi karibuni Wabunge wakilalamika maagizo ya Waziri Mkuu hayafuatwi. Lakini ni kweli amekuwa akiongea na bila kusimamia maagizo yake.

Jana Wafanyabiashara Kariakoo wameonyesha dhahiri kwamba hakuna imani nae kwasababu hawezi kusimamia anachokiagiza na hata ungesikia kauli zake sio za kutoa amri ni ushauri tu.

Maeneo mengi alilkoenda na kusema Watumishi wahamie wamempuuza.

Je, nani atafaa kuwa Waziri Mkuu kama Lowassa ambae alikuwa akisema kuwa inakuwa?
 
Sasa kama wabunge hawamuheshimu rais watamuheshimu waziri mkuu kweli? Tunahitaji rais mkali kama Magufuli aje kuwashikisha adabu mawaziri wasiofanya kazi na wezi.
 
Back
Top Bottom