Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
wadau nimeona sehemu nyingi katika dunia hii tambalale wanakuwa ni watu wenye kufanya sala na ibada za kiasili/matambiko hususani asia,afrika na amerika ,je wenzetu wa reasoning/ulaya wanayo haya mambo?
uchawi na matambiko mengine
uchawi na matambiko mengine