Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanataka kuwaangushia jumba bovu watoto wawatu,kama wamebuma wakaushe tu wasitafute pakufia..Yeah ni kweli na kwa taarifa yenu Harmonize ana Masters Degree ya IT sasa huyu jamaa ndio master wa figisu zote zinazohusu views za Kiba.
Kwako msaaada wa Dada wa ughaibuni.Haiwez kuwa sababu kwani kwenye seduce me Ali alifika Viewers M1 ndani ya saa 24. Tena akiwa na less subscribers
Mange Kimambi impact + wasafi kutoa wimbo same day.Haiwez kuwa sababu kwani kwenye seduce me Ali alifika Viewers M1 ndani ya saa 24. Tena akiwa na less subscribers
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yeah ni kweli na kwa taarifa yenu Harmonize ana Masters Degree ya IT sasa huyu jamaa ndio master wa figisu zote zinazohusu views za Kiba.
Hivi saa hizi sista haja mpigia.promo?Kwako msaaada wa Dada wa ughaibuni.
Ni sahihi kabisa mkuu. Mmakonde anacheza na code tu![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naskia huyu ame zi stall views kwenye fixed number hata ukienda kuangalia zinabaki pale pale zilipo
Domo mzee wa figisu itakuwa kafanya yakeDiamond anahusika moja kwa moja.
Uko busy na CTMimi ni mmoja Ambao sijautazama huo wimbo zaidi nakuta nao instagram umepostiwa kama Tangazo basi siku nikitulia nitauangalia
Teh teh teh Diamond mtoto mbaya sana yule doohNi takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16. Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa lakini count haiongezeki.
Sote tunajua Bifu kati ya Ali kiba na WCB, sasa je inawezekana wcb ndio inayomhujumu Ali kiba you tube.???
Basi hata kama c wcb moja kwa moja inawezekana hata shabikibwa wcb akafanya hujuma hiyo, kwa maana ali kiba ametumia pesa mingi kutengeza bolingo yake ya congo lakini ndo hivo hujuma.
Asanteni nawasilisha
Juzi nilisema wimbo huu ukifikisha views 1M ndani ya siku tatu najivua uteam WCBNi takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16. Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa lakini count haiongezeki.
Sote tunajua Bifu kati ya Ali kiba na WCB, sasa je inawezekana wcb ndio inayomhujumu Ali kiba you tube.???
Basi hata kama c wcb moja kwa moja inawezekana hata shabikibwa wcb akafanya hujuma hiyo, kwa maana ali kiba ametumia pesa mingi kutengeza bolingo yake ya congo lakini ndo hivo hujuma.
Asanteni nawasilisha
Tunaomba Mange aingilie katiNi takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16. Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa lakini count haiongezeki.
Sote tunajua Bifu kati ya Ali kiba na WCB, sasa je inawezekana wcb ndio inayomhujumu Ali kiba you tube.???
Basi hata kama c wcb moja kwa moja inawezekana hata shabikibwa wcb akafanya hujuma hiyo, kwa maana ali kiba ametumia pesa mingi kutengeza bolingo yake ya congo lakini ndo hivo hujuma.
Asanteni nawasilisha
Nakumbuka ulisema mzee,,au wewe ndo umeweka waya wa earth huko youtube,maana mvumo wa radi umedunda..[emoji23][emoji23][emoji23]Juzi nilisema wimbo huu ukifikisha views 1M ndani ya siku tatu najivua uteam WCB