Je, WCB wanahusika kumhujumu Ali Kiba you tube, views kuganda?

Je, WCB wanahusika kumhujumu Ali Kiba you tube, views kuganda?

Yeah ni kweli na kwa taarifa yenu Harmonize ana Masters Degree ya IT sasa huyu jamaa ndio master wa figisu zote zinazohusu views za Kiba.
 
si tuliwauliza juzi mkasema analounge bidhaa kanunua airtime siku nzima walipokua wanampamba msitafute mchawi ni nani mziki wa saizi unataka bidii sio ukongwe wala maneno
 
Ni takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16. Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa lakini count haiongezeki.
Sote tunajua Bifu kati ya Ali kiba na WCB, sasa je inawezekana wcb ndio inayomhujumu Ali kiba you tube.???
Basi hata kama c wcb moja kwa moja inawezekana hata shabikibwa wcb akafanya hujuma hiyo, kwa maana ali kiba ametumia pesa mingi kutengeza bolingo yake ya congo lakini ndo hivo hujuma.
Asanteni nawasilisha
Teh teh teh Diamond mtoto mbaya sana yule dooh
 
inayoonekana yale maswala ya kununua views yamemgharimu maana juzi katoa wimbo masaa 4 tu views laki tano nazaidi
 
Ni takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16. Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa lakini count haiongezeki.
Sote tunajua Bifu kati ya Ali kiba na WCB, sasa je inawezekana wcb ndio inayomhujumu Ali kiba you tube.???
Basi hata kama c wcb moja kwa moja inawezekana hata shabikibwa wcb akafanya hujuma hiyo, kwa maana ali kiba ametumia pesa mingi kutengeza bolingo yake ya congo lakini ndo hivo hujuma.
Asanteni nawasilisha
Juzi nilisema wimbo huu ukifikisha views 1M ndani ya siku tatu najivua uteam WCB
 
Ni takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16. Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa lakini count haiongezeki.
Sote tunajua Bifu kati ya Ali kiba na WCB, sasa je inawezekana wcb ndio inayomhujumu Ali kiba you tube.???
Basi hata kama c wcb moja kwa moja inawezekana hata shabikibwa wcb akafanya hujuma hiyo, kwa maana ali kiba ametumia pesa mingi kutengeza bolingo yake ya congo lakini ndo hivo hujuma.
Asanteni nawasilisha
Tunaomba Mange aingilie kati
 
Wimbo aliotoa Ali Kiba hauna ladha. Wengi walienda kuangalia ameimba nini. Nimeusikiliza kwa sekunde tano na sikupata mshawasha wa kuendelea kupoteza MB zangu kuusikiliza.
Ushauri tu, ni bora Ali Kiba atafute kazi nyingine ya kufanya astaafu mziki kwa heshima. Alishafika peak sasa ana drop kwa kasi ya mwanga.
 
Back
Top Bottom