Je, we Mtanzania kwanini unaichukia sana Hamas?

Je, we Mtanzania kwanini unaichukia sana Hamas?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Wana Bodi,

Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!

Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?

Na kwanini usiichukie Israel kwa kuvamia Palestine kwa nguvu wakati kiukweli ardhi ni ya wa Plestina.

Wapelestina wakidai wanashushiwa kipigo ja kuua watoto na wanawake! Je hapo ni yupi anastahili kuchukiwa? Na yinyi mnaoichukia Hamas mnauhakika Israel inawapenda hata kuwaona nyie wamatumbi ngozi nyeusi? Kama siyo iweje mwapende watu wasiowapenda?

Jitafakarini hata kama ni kisingizio cha dini je wao wanaunasaba na ukristo?maana wao walipinga ukritu adharani ila wakristo wanajikomba kwao wakati wao wanajua dini nyingine tofauti na ukristo hasa Roman Cathoric.

Nimemaliza
 
Tar 7 Oct mlisherehekea sana makombora yale elf5 kurushwa Israel na alahu akubar nyingi😂😂😂😂

Tukawaambia mapigo yakianza kurudi msije mkaanza kulialia na kuomba huruma ya Dunia isimamie mapigano yaishe mkaona kama mmejipanga.


Yaaaniii nyie mpaka msemeeee!!!!!!

unasema wanawake na watoto ndo wanakufa kwani Mlipoyatupa yale makombora Israeli wanawake na watoto hawakufa?

Acha mpigwe na mtapigwa tuu.
Maaaaaamaaaaae!!!!😐😐😐😐
 
Siku ya 7 October watu wakiwa wanashangilia uvamizi wa Hamas, Kuna watu walionya na kutoa tahadhali kuwa Israel akijibu msianze kulia , wengi mlijibu kuwa Myahudi ndo mwisho wake kuwa hawezi kufanya chochete Kwa Hamas, kwamba Israel akishambulia Hamas Iran ataingilia kati, Leo yako wapi? Naipongeza Qutar kwa kuijaribu kutafuta suluhu ili kusimamisha vita, Iran amewatia hasara sana wapalestina , Leo hii watu zaidi ya elf 10 wamekufa, mji wa Gaza umegeuka kuwa magofu, kila kitu kimeharibiwa, huko Iran anabweka akiwa mbali, anajaribu kuwatumia jeshi dhaifu la Hezbollah na Houth ndo wapambane na jeshi lenye air force nzuri sana duniani, hawezi kurusha hata kombora likitoka Iran, Iran abebaki anasema mora atawaadhibu wazayun.
 
Wana Bodi,
Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!

Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?

Na kwanini usiichukie Israel kwa kuvamia Palestine kwa nguvu wakati kiukweli ardhi ni ya wa Plestina.

Wapelestina wakidai wanashushiwa kipigo ja kuua watoto na wanawake! Je hapo ni yupi anastahili kuchukiwa? Na yinyi mnaoichukia Hamas mnauhakika Israel inawapenda hata kuwaona nyie wamatumbi ngozi nyeusi? Kama siyo iweje mwapende watu wasiowapenda?

Jitafakarini hata kama ni kisingizio cha dini je wao wanaunasaba na ukristo?maana wao walipinga ukritu adharani ila wakristo wanajikomba kwao wakati wao wanajua dini nyingine tofauti na ukristo hasa Roman Cathoric.

Nimemaliza
Huo ukweli unaupata wapi
 
Wana Bodi,
Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!

Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?

Na kwanini usiichukie Israel
Mimi naichukia Hamas sana tena mno.sababu wameteka watanzania wenzetu wawili Mollel na Mtenga hadi leo hawajawaachia
 
Wana Bodi,
Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!

Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?

Na kwanini usiichukie Israel kwa kuvamia Palestine kwa nguvu wakati kiukweli ardhi ni ya wa Plestina.

Wapelestina wakidai wanashushiwa kipigo ja kuua watoto na wanawake! Je hapo ni yupi anastahili kuchukiwa? Na yinyi mnaoichukia Hamas mnauhakika Israel inawapenda hata kuwaona nyie wamatumbi ngozi nyeusi? Kama siyo iweje mwapende watu wasiowapenda?

Jitafakarini hata kama ni kisingizio cha dini je wao wanaunasaba na ukristo?maana wao walipinga ukritu adharani ila wakristo wanajikomba kwao wakati wao wanajua dini nyingine tofauti na ukristo hasa Roman Cathoric.

Nimemaliza
Nani kakudanganya ardhi ni ya wapalestina? Israel anawezaje kuchukua ardhi yake?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Wana Bodi,

Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!

Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?

Na kwanini usiichukie Israel kwa kuvamia Palestine kwa nguvu wakati kiukweli ardhi ni ya wa Plestina.

Wapelestina wakidai wanashushiwa kipigo ja kuua watoto na wanawake! Je hapo ni yupi anastahili kuchukiwa? Na yinyi mnaoichukia Hamas mnauhakika Israel inawapenda hata kuwaona nyie wamatumbi ngozi nyeusi? Kama siyo iweje mwapende watu wasiowapenda?

Jitafakarini hata kama ni kisingizio cha dini je wao wanaunasaba na ukristo?maana wao walipinga ukritu adharani ila wakristo wanajikomba kwao wakati wao wanajua dini nyingine tofauti na ukristo hasa Roman Cathoric.

Nimemaliza
Nawachukia hamasi kwasababu palestina yalipigana upande wa Idd amini wakati wa vita ya kagera
 
Hamas ni magaidi tu hayo ni watu wanaoamini ukiua asiye muislam utaenda ahera na kupewa mabikra 72 na Haineken inayomiminika kwenye mito. Bogus kabisa.
 
Na yinyi mnaoichukia Hamas mnauhakika Israel inawapenda hata kuwaona nyie wamatumbi ngozi nyeusi? Kama siyo iweje mwapende watu wasiowapenda?
Sio lazima unayempenda akupende.
Mimi siwapendi Hamas kwa kuwa ni magaidi ila siwachukii wapalestina. Kama Hamas hawana uhusiano na Palestine basi Palestine iwakane.
 
Wana Bodi,

Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!

Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?

Na kwanini usiichukie Israel kwa kuvamia Palestine kwa nguvu wakati kiukweli ardhi ni ya wa Plestina.

Wapelestina wakidai wanashushiwa kipigo ja kuua watoto na wanawake! Je hapo ni yupi anastahili kuchukiwa? Na yinyi mnaoichukia Hamas mnauhakika Israel inawapenda hata kuwaona nyie wamatumbi ngozi nyeusi? Kama siyo iweje mwapende watu wasiowapenda?

Jitafakarini hata kama ni kisingizio cha dini je wao wanaunasaba na ukristo?maana wao walipinga ukritu adharani ila wakristo wanajikomba kwao wakati wao wanajua dini nyingine tofauti na ukristo hasa Roman Cathoric.

Nimemaliza
Kwa sababu Palestina ni waislam. Na wakiristo watz wengi wanaroho ya kwanini kwa waislam
 
Dini ni kitu kibaya kilicholetwa Duniani.
Asilimia kubwa wanaoichukia Israel au palestina. Ni kwa sababu ya dini.

Ukiweka dini pembeni ukaamua kufuatilia ukweli utajua tatizo liko wapi.

Maisha ya kila binadamu yana thamani. Dini isikupofushe ukaona uhai wa binadamu mwingine hauna thamani
 
Wana Bodi,

Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!

Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?

Na kwanini usiichukie Israel kwa kuvamia Palestine kwa nguvu wakati kiukweli ardhi ni ya wa Plestina.

Wapelestina wakidai wanashushiwa kipigo ja kuua watoto na wanawake! Je hapo ni yupi anastahili kuchukiwa? Na yinyi mnaoichukia Hamas mnauhakika Israel inawapenda hata kuwaona nyie wamatumbi ngozi nyeusi? Kama siyo iweje mwapende watu wasiowapenda?

Jitafakarini hata kama ni kisingizio cha dini je wao wanaunasaba na ukristo?maana wao walipinga ukritu adharani ila wakristo wanajikomba kwao wakati wao wanajua dini nyingine tofauti na ukristo hasa Roman Cathoric.

Nimemaliza
Huyu askofu kadadavua vizuri..

View: https://youtu.be/JN00GIgYmwU?si=0p4it_KIdLWMq0IO
 
Back
Top Bottom