Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
so wewe uko singo! Is that right?
suzane, jikinge na fataki kama huyu.
Itakula kwako akikutongoza ukamkubali.
kwa hilo nampa mr wako hengera, wengine tukitongozwa yunaishilia nalo rohoni mana ukimshirikisha ni umeharibu kila kitu mpaka amani yako....tunashirikisha tukizidiwa kabisa, yaani ile imezidiiiii.
kwa hilo nampa mr wako hengera, wengine tukitongozwa yunaishilia nalo rohoni mana ukimshirikisha ni umeharibu kila kitu mpaka amani yako....tunashirikisha tukizidiwa kabisa, yaani ile imezidiiiii.
kimbweka si rahisi hivyo. Nimeshatokewa na watu kibao among them wapo lecturers wangu ambao nilikua watani disco. Lakini haikuwa hivyo maana huwa nawatolea nje kiustaarabu then uhusiano wa kawaida unaendelea.
Kingine ni kuwa huwa ni muwazi sana kumwambia mr hivyo nae ananipa ushauri. Kila kitu kinawezekana kama wote mkiongea na kuwa na sauti moja. Sisi tunafurahia uhusiano wetu na haitotokea ng'o nimvulie nguo mwanaume mwingine, namshukuru mungu mwanaume wangu amekamilika kila idara kuanzia uzuri wa sura,tabia,umbo,mambo kitandani ndo usiseme na uwezo wake wa kipesa si haba,sasa kuna sababu gani ya kuhangaika nje?
Katika swala la uaminifu tunahitaji maombi mengi zaidi, wanaume hawafai, jamani mm nimeshalizwa mpaka nimechoka, sijawahi kupata mwanaume mwaminifu, mpaka najiuliza tatizo ni nini? mbona mm siwezi kuhangaika? mbona mm siwezi kuchanganya wanaume wawiliwawili? wanaume hamfai kabisa nawala sitamani kuwa na mwanaume tena.