Je, Wema alikua under age alipokuwa miss Tanzania, 2006?

Je, Wema alikua under age alipokuwa miss Tanzania, 2006?

Wema was under age kipindi hichi ndo alikuwa miss mdogo hadi ililetaga normal ikabidi waandike 18
 
Kipindi Wema anashiriki miss Tanzania alikuwa hana umri wa miaka 18. Ilikuwa miaka 17 na sio kwamba alidanganya au anadanganya umri. Hii pia ilileta shida lakin ikafunikwa kiaina
 
Nina kaka yangu alikuwa na ndoto za kuwa mwanasoka(sasa hivi zimekufa) sasa siku moja niliangalia cheti chake cha kuzaliwa dah nilichoka yaani karudisha umri nyuma kiasi kwamba mimi na yeye sasa hivi me ndo mkubwa [emoji22]
 
We mbona hadi leo Ngassa ana 22. So vumilia tu
Umenikumbusha mbali mkuu. Wakati Ngassa akijinadi yanga kuwa ni kinda ana miaka 19 alikuwa ana mtoto Wa miaka 9! Kwa sasa tunaongeza umri tufike 55 ili tulipwe NSSF zetu.
 
Ila Africa ni sawa. Watu hawakui, kile kijeba kilicheza na serengeti boys si ni U-17.
 
Nawashauri vijana ambao wanataka kuoa wadai cheti cha kuzaliwa cha binti husika..

Ukikurupuka unawaza kuoa bibi yako!
 
Back
Top Bottom