Je, Wema Sepetu anakwama wapi wakuu. Tuseme naye

Ni mswahili so lazima wao wajioneshe na pia kakuzwa kujikweza kukurupuka na hajitambui hiyo ni shida ingine.
Niambie wadada waliowaswahili hivyo nani yupo juu kwa lolote??
Maana wao wamefundishwa kitofauti .
Nawaigaji na hawataki kufuata vyao kama wao wao lazima wakiona mtu kafanya jambo lazima wafanye hata hapa tupo nao majirani ukinunua kilimanjaro wanadhani ni wao umewanunulia waone .
Wanaenda kununua lazima wajioneshe hawatumii akili zao nakujua wanataka nini ndio shida kubwa .
Hata kazini ndio hivyo.
Nandio.maana wakiga wanakwama .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Sikio la kufa halisikii dawa'
 
Saiv analiwa na jamaa mmoja askari anampigia simu wanakutana hotel kisirisiri ila jamaa anasema bila bangi haend yule demu kwahyo anahakikisha anamineli kama mitano ivi ndio waende wakatulie, kwakifupi wema haishiwag nyege ana nyege za kimataifa...
 
Kwenye uzi, warumi akiweka comment yake naomba mnitagi tafadhali nawahakikishia nitarudi fasta
πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Aisee kwahiyo ana nyege kama zote
Saiv analiwa na jamaa mmoja askari anampigia simu wanakutana hotel kisirisiri ila jamaa anasema bila bangi haend yule demu kwahyo anahakikisha anamineli kama mitano ivi ndio waende wakatulie, kwakifupi wema haishiwag nyege ana nyege za kimataifa...
 
Kunguru haulizwi anakwama wapi, yupo duniani kuvuluga mambo tu
Ila tako analo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…