Je, Wema Sepetu anakwama wapi wakuu. Tuseme naye

Je, Wema Sepetu anakwama wapi wakuu. Tuseme naye

Aman iwe juu yenu wakuu msiwe wapuuz kama wafia dini wanao uana kisa wanatofautiana dini, msiwe wapuuz kama wafia dini wanaoitana makafiri kisa wanatofautina dini. Hawaaminian kabisa mkiristo anajua muislam anamuabudu shetan na ni mtu Wa moton tu pia mwisilam anaamin ukristo ni dini ya kutungwa na wakristo hawataiona pepo.


Twende kwenye maada

Ngoja nisileleke nayo wakuu

Je ivi mwanadada wema sepetu anakwama wapi mbona mamiss wenzake wako juu na wanaheshima sana kwenye jamii na wamejijengea misingi mikubwa sana kwenye maisha tofaut kabisa na yeye. Je anakwama wapi Dada yetu huyu

Ukiangalia mamis kama kylin, Nancy sumary, faraja, pia na jokate kidoti na huyu ambaye katwaa juzi miss makune anaonekana ana akili sana na hana Maisha ya mitandao kabisa.

Je huyu Dada yetu anakwama wapi, je bado ni mtoto utoto unamsumbua au bado hajajitambua

Mi nahisi watu waliomzunguka yaan campan yake ndo tatizo

Je anakwama wapi


Nawasilisha

Aman itamalaki juu yenu

NEW YORK BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mswahili so lazima wao wajioneshe na pia kakuzwa kujikweza kukurupuka na hajitambui hiyo ni shida ingine.
Niambie wadada waliowaswahili hivyo nani yupo juu kwa lolote??
Maana wao wamefundishwa kitofauti .
Nawaigaji na hawataki kufuata vyao kama wao wao lazima wakiona mtu kafanya jambo lazima wafanye hata hapa tupo nao majirani ukinunua kilimanjaro wanadhani ni wao umewanunulia waone .
Wanaenda kununua lazima wajioneshe hawatumii akili zao nakujua wanataka nini ndio shida kubwa .
Hata kazini ndio hivyo.
Nandio.maana wakiga wanakwama .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman iwe juu yenu wakuu msiwe wapuuz kama wafia dini wanao uana kisa wanatofautiana dini, msiwe wapuuz kama wafia dini wanaoitana makafiri kisa wanatofautina dini. Hawaaminian kabisa mkiristo anajua muislam anamuabudu shetan na ni mtu Wa moton tu pia mwisilam anaamin ukristo ni dini ya kutungwa na wakristo hawataiona pepo.


Twende kwenye maada

Ngoja nisileleke nayo wakuu

Je ivi mwanadada wema sepetu anakwama wapi mbona mamiss wenzake wako juu na wanaheshima sana kwenye jamii na wamejijengea misingi mikubwa sana kwenye maisha tofaut kabisa na yeye. Je anakwama wapi Dada yetu huyu

Ukiangalia mamis kama kylin, Nancy sumary, faraja, pia na jokate kidoti na huyu ambaye katwaa juzi miss makune anaonekana ana akili sana na hana Maisha ya mitandao kabisa.

Je huyu Dada yetu anakwama wapi, je bado ni mtoto utoto unamsumbua au bado hajajitambua

Mi nahisi watu waliomzunguka yaan campan yake ndo tatizo

Je anakwama wapi


Nawasilisha

Aman itamalaki juu yenu

NEW YORK BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
'Sikio la kufa halisikii dawa'
 
Saiv analiwa na jamaa mmoja askari anampigia simu wanakutana hotel kisirisiri ila jamaa anasema bila bangi haend yule demu kwahyo anahakikisha anamineli kama mitano ivi ndio waende wakatulie, kwakifupi wema haishiwag nyege ana nyege za kimataifa...
 
Kwenye uzi, warumi akiweka comment yake naomba mnitagi tafadhali nawahakikishia nitarudi fasta
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Aisee kwahiyo ana nyege kama zote
Saiv analiwa na jamaa mmoja askari anampigia simu wanakutana hotel kisirisiri ila jamaa anasema bila bangi haend yule demu kwahyo anahakikisha anamineli kama mitano ivi ndio waende wakatulie, kwakifupi wema haishiwag nyege ana nyege za kimataifa...
 
Kunguru haulizwi anakwama wapi, yupo duniani kuvuluga mambo tu
Ila tako analo
 
Back
Top Bottom