Mbaya zaidi ukoo mzima unasoma geji unatembelea reserve mafuta ya kibaba taa inawaka.Gari zenye dashboard kati kati ukoo mzima unaona jamaa sasa hivi yupo 140 km/h mama mkwe anakwambia baba punguza spidi..hatuna haraka...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]sijui hawa designers waliwaza nini...Gari zenye dashboard kati kati ukoo mzima unaona jamaa sasa hivi yupo 140 km/h mama mkwe anakwambia baba punguza spidi..hatuna haraka...
HahahahaGari zenye dashboard kati kati ukoo mzima unaona jamaa sasa hivi yupo 140 km/h mama mkwe anakwambia baba punguza spidi..hatuna haraka...
Acha mkuu kufananisha wish na uchafuGari nzuri zinavutia. Nashangaa watu wanazipondea. Mbona zipo kama Wish.
Ila Kuna magari bana we acha man
Kwa hapa umenikunaKuna Nissan Cube gari siipendi ile basi tu
Ndg yake toyota BBKuna Nissan Cube gari siipendi ile basi tu