Asante,nililambwa ban juzi,Jana nimefunguliwaUllikuwa umefungiwa? Pole sana Maserati.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Shimba ya buyenze,Emmyta, espy, shunie, daby, emoji, na wengine woteee
Mimi hata sikupendi..... [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Love you too.
Hata mimi sikupendi.Mimi hata sikupendi..... [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Umeanza lini kutokunipenda?Hata mimi sikupendi.
Sawa sitokupenda.Oouh, na endelea kutokunipenda maana mimi sio mutu mzuri.
Sijui mimi. Si jirani yako huyo
Wewe unavyotaka kumpa nipe bwana... siunajua sina hiana mimi.Sawa sitokupenda.
Wiki nzima mlango umefungwa. Ni swahiba wako ndio maana nakuuliza!!
Namdai pesa kama kamilioni kamoja hivi, hebu msaidie kulipa basi.Wewe unavyotaka kumpa nipe bwana... siunajua sina hiana mimi.
Ila kama ni kulipiana madeni gime breki
[emoji23][emoji23], hahahaNamdai pesa kama kamilioni kamoja hivi, hebu msaidie kulipa basi.
We haunidai, mimi ndio nakudai.[emoji23][emoji23], hahaha
Wacha bwana, basi hilo deni limeisha na lile nalokudaigi siku zote
Afadhali avatar yako imenisaidia kukuchekaWe haunidai, mimi ndio nakudai.
Kwahiyo unanilipa au haunilipi?Afadhali avatar yako imenisaidia kukucheka